Ukiwa kiongozi wa nchi unapaswa kuwa vipi? Huyu hapa Waziri Mkuu wa zamani wa Singapore

Lee amekuwa Waziri mkuu wa tatu wa Singapore baada ya Lee senior akafuata Goh Chok Tong wewe unaandika pumba
wakati goh chok akiwa pm boshen lee junior alikuwa nani, na lee senior alikuwa nani?
 
Acha kuandika umbea kijana
unamfahamu yule lecture wa physics na pia alikuwa mbunge ambaye lee alimweka jela miaka 25 kwa kugoma kumsujudu tu (the guy was jailed for 25 yrs just because he refused to bow before that tyrant).
 
Huyu ni dictator but a benevolent one, alitawala Singapore kwa mkono wa chuma, so does Magufuli Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
 
unamfahamu yule lecture wa physics na pia alikuwa mbunge ambaye lee alimweka jela miaka 25 kwa kugoma kumsujudu tu (the guy was jailed for 25 yrs just because he refused to bow before that tyrant).
Moja ya matatizo yaliyokuwa yana kabili mataifa mbalimbali duniani baada ya kupata uhuru miaka ya 1950s, 1960s mpaka mwishoni mwa miaka ya 80s ni vita baridi baina ya ukomunisti na ubepari na Singapore ilikumbwa na hilo tatizo.

Vita baridi viliwafika ndani ya Singapore na ukomunisti kwa support ya wachina walikuwa wanaendesha shughuli mbalimbali ndani ya Singapore against sera za kipebari na kutaka Singapore iwe na ukomunisti Lee hakuelewana mpaka na wakomunisti wachina kwa kuchochea ukomunisti kwa jamii ya wachina walio Singapore na huyo bwana alikuwa na hizo harakati.
 
Umemskiliza?
Ndiyo...

Lakini wewe unataka waonaji na wasikilizaji tuseme nini sasa.?

Nadhani ungeanza kwanza wewe kujenga msingi wa unachokifikiri kumhusu..

Anyway, hata hivyo kuna huyu mjumbe 👉👉 Bulesi ametoa ufafanuzi kidogo kitu ambacho katika kuanzisha mjadala, ulipaswa ufanye wewe mleta hoja...
 
Hyo ndo kawaida ya dictator kutafuta excuses za kuumiza watu, hata hapa kwetu kuna watu walipewa kesi za ugaid na dictator ambaye Mungu alituepusha na mazila yake kwa kumuwaisha jehanamu.
 
Hyo ndo kawaida ya dictator kutafuta excuses za kuumiza watu, hata hapa kwetu kuna watu walipewa kesi za ugaid na dictator ambaye Mungu alituepusha na mazila yake kwa kumuwaisha jehanamu.
Hicho kipindi cha vita baridi kati ya ukomunisti Vs ubepari kilitawaliwa na mapinduzi mengi nchi mbalimbali serikali nyingi ziliishi kwa mashaka iwe za kibepari au za kikomunisti. Serikali nyingi duniani zilipinduliwa.

Ungepitia machapisho mbalimbali kuhusu kipindi cha vita baridi ungeelewa nini kila serikali duniani ilikuwa inafanya kijilinda.
 
kiongozi auwi watu, kiongozi hafungi watu jela kwa kisingizio cha uhaini, kiongozi afilisi matajiri ila anawabana kwa kutumia sheria ili walipe kodi, kiongozi arithishi mtoto wake madaraka ili amlinde na maovu yake, hayo yote huyo bwana kafanya,
Katika kufanya jambo fulani lazima Kuna hali ya kufanya mambo ya hatari kwa ajili ya ustawi wa taifa.Na kuweka kumbukumbu Sawa hakuna kiongozi asiye na upande hasi kama yupo mtaje?
 
Katika kufanya jambo fulani lazima Kuna hali ya kufanya mambo ya hatari kwa ajili ya ustawi wa taifa.Na kuweka kumbukumbu Sawa hakuna kiongozi asiye na upande hasi kama hayupo mtaje?
usiseme kiongozi sema mtawala, hakuna kiongozi aliyekaa madarakani kwa zaidi ya miaka 30 mkuu, lee was a tyrant.
 
huyo amekaa madarakani kuanzia 1959 mpaka 1990, mpaka alipoona mtoto wake anaweza kuongoza ndo akamwachia kiti, kwa hxo miaka yote hyo hakvkuwa na mtu mwingine mwenye uwezo wa kuwa pm ila yeye tu au?
Mwl.Nyeere amekaa madaraka kuanzia 1961 mpaka 1985,je kwa kipindi chote hicho kulikuwa hakuna mtu mwenye sifa ya kuwa raisi isipo kuwa yeye tu?

Mtoto kapewa nafasi ya kuongoza kwa uwezo wake sio kubebwa na mfumo.
 
VISINGIZIO VISINGIZIO, kwanza lee mwenyewe alikuwa mchina.
 
Mwl.Nyeere amekaa madaraka kuanzia 1961 mpaka 1985,je kwa kipindi chote hicho kulikuwa hakuna mtu mwenye sifa ya kuwa raisi isipo kuwa yeye tu?

Mtoto kapewa nafasi ya kuongoza kwa uwezo wake sio kubebwa na mfumo.
unatoa mfano mfu, hao si ndo wale wale tu mkuu, wa kuweka watu jela kwa makosa ya uhaini kisa tu watu wana mawazo tofauti na yao. Unamuongelea mtu ambaye mawazo yake mgando yanatutesa mpaka sasa.
 
usiseme kiongozi sema mtawala, hakuna kiongozi aliyekaa madarakani kwa zaidi ya miaka 30 mkuu, lee was a tyrant.
uongozi bora una pimwa na mafanikio ya kimageuzi katika nyanja zote,hivyo basi sioni kama ni Sawa kutumia nyenzo moja kufika hitimisho la kitu,ndio maana nimekupa mfano wa Mwl.Nyerere
 
unatoa mfano mfu, hao si ndo wale wale tu mkuu, wa kuweka watu jela kwa makosa ya uhaini kisa tu watu wana mawazo tofauti na yao. Unamuongelea mtu ambaye mawazo yake mgando yanatutesa mpaka sasa.
Mkuu hapa hatujadili kufeli au kufaulu kwa sera fulani bali sifa za kiongozi.Na kuweka kumbukumbu Sawa nisha andika tayali kila kiongozi ana pande mbili hasi na chanya.
 
uongozi bora una pimwa na mafanikio ya kimageuzi katika nyanja zote,hivyo basi sioni kama ni Sawa kutumia nyenzo moja kufika hitimisho la kitu,ndio maana nimekupa mfano wa Mwl.Nyerere
hv nyerere na yeye alikuwa na mafanikio gani kwa muda wote aliokaa madarakani? afadhali hata tyrant lee aliyeitoa singapore jalalani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…