Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Sijui Ni desturi yetu sisi waafrica. Unakuta kiongozi hapokei simu na ukizingatia kabla ya uteuzi au kuwa kiongozi simu alikuwa anapokea Ila baada tu ya kuwa kiongozi simu hapokei.
Viongozi wetu ukiwa mbunge, waziri, DC, RC, au naibu waziri, tunaomba simu ikiita hata Kama huna muda kwa wakati huo Basi ukipata nafasi wapigie waulize walikuwa wanasemaje, utabarikiwa Sana na Mungu.
Kutokupokea simu kunamfanya mtu kwenda kwenye ngazi ya juu zaidi kutoa malalamiko yake ambapo kutakufanya wewe kiongozi ambaye hukupokea simu uonekane huwajibiki kwenye nafasi yako.
Soma Pia: Maxence Melo: Kiongozi ukishakuwa kwenye ofisi ya umma kukosolewa ni haki yako
Nitumie fursa hii pia kuwapongeza viongozi wetu wote ambao wamekuwa wakipokea simu zetu Mara tupigapo kwasabu kupokea simu zetu sisi Wananchi ni kumuwakilisha vema Mh. Rais.
Viongozi wetu ukiwa mbunge, waziri, DC, RC, au naibu waziri, tunaomba simu ikiita hata Kama huna muda kwa wakati huo Basi ukipata nafasi wapigie waulize walikuwa wanasemaje, utabarikiwa Sana na Mungu.
Kutokupokea simu kunamfanya mtu kwenda kwenye ngazi ya juu zaidi kutoa malalamiko yake ambapo kutakufanya wewe kiongozi ambaye hukupokea simu uonekane huwajibiki kwenye nafasi yako.
Soma Pia: Maxence Melo: Kiongozi ukishakuwa kwenye ofisi ya umma kukosolewa ni haki yako
Nitumie fursa hii pia kuwapongeza viongozi wetu wote ambao wamekuwa wakipokea simu zetu Mara tupigapo kwasabu kupokea simu zetu sisi Wananchi ni kumuwakilisha vema Mh. Rais.