Ukiwa maskini, huna miradi lazima uwe kondoo mbele ya bosi wako. Hakikisha una miradi usiwe kondoo

Ukiwa maskini, huna miradi lazima uwe kondoo mbele ya bosi wako. Hakikisha una miradi usiwe kondoo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Fanya utafiti sehemu yako ya kazi utakuja kuthibitisha hili
Wafanyakazi maskini, hawana nyumba au wana nyumba zisizoeleweka, wafanyakazi wasio na option B, wafanyakazi wenye CV zenye mashaka, wafanyakazi wasio na miradi nje kazi hao ndio huishi kwa uchawa.
Hao ndio hufokewa kila mda.
Hata mabosi malaya wanawazini wadada wasiojiweza.
Kazini kwetu bosi ni kicheche amepita na wadada wengi kamshindwa dada mmoja, dada ana gari tatu za kutembelea. Gari ya thamani ya chini ni around 30ml.
Huyu hata kumtania hawezi. Hawa wadada choka mbaya wanaoishi kwa uchawa kawamanua sana .
Maskini ni mtu mdhaifu sana. Hawezi kumpinga kiongozi wake.
Tafuteni pesa
 
Hello!
Fanya utafiti sehemu yako ya kazi utakuja kuthibitisha hili
Wafanyakazi maskini, hawana nyumba au wana nyumba zisizoeleweka, wafanyakazi wasio na option B, wafanyakazi wenye CV zenye mashaka, wafanyakazi wasio na miradi nje kazi hao ndio huishi kwa uchawa.
Hao ndio hufokewa kila mda.
Hata mabosi malaya wanawazini wadada wasiojiweza.
Kazini kwetu bosi ni kicheche amepita na wadada wengi kamshindwa dada mmoja, dada ana gari tatu za kutembelea. Gari ya thamani ya chini ni around 30ml.
Huyu hata kumtania hawezi. Hawa wadada choka mbaya wanaoishi kwa uchawa kawamanua sana .
Maskini ni mtu mdhaifu sana. Hawezi kumpinga kiongozi wake.
Tafuteni pesa
Ukitaka kuendelea jifunze kunyenyekea na bidii kwenye kila kitu unachofanya. Usisahau hata huyu Mungu tunaemuabudu anatakiwa anyenyekewe. Usiwe kibur kwa aliyejuu yako wala usidharau nafas yake. Nawe itapandishwa kwa wakati wako
 
Back
Top Bottom