Ukiwa mjamzito mtoto anageuka akiwa na miezi mingapi?

Ya dini gani, au ambayo yapo kotekote....
huwa napenda sana kazi ya kugoogle majina ya watoto nakuaga na mchecheto kama wewe ujauzito wiki mbili tu tayari nagugo jina 😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ ya kote kote na sanasana ya kikristo pia πŸ™ niandae jina kabsa
 
Haiwezi sababisha...

Kutoka kwa mtoto (kupata uchungu) ni hadi akomae ambapo huwa ni takribani miezi 9, na huongozwa na hormones...

Kama mama anahudhuria kliniki atatambulishwa hayo yote, madokta huwa wanafanya vipimo
Aaah shukraNi sana mkuu nimekuelewa sana
ubarikiwe sanπŸ™πŸ™
 
Kipind mke wng ana pata ujauzito wa kwanza niliwah kumpeleka kwenye ultrasound nikaambiwa mke wng ana watoto mapacha tumbon....alipokuja kujifungua nilipata mmoja tu hvo usiamin san
 
Kipind mke wng ana pata ujauzito wa kwanza niliwah kumpeleka kwenye ultrasound nikaambiwa mke wng ana watoto mapacha tumbon....alipokuja kujifungua nilipata mmoja tu hvo usiamin san
Aaaah dah kweLi mkuu inabd tuamini tu miujiza ya mungu
 
Kipind mke wng ana pata ujauzito wa kwanza niliwah kumpeleka kwenye ultrasound nikaambiwa mke wng ana watoto mapacha tumbon....alipokuja kujifungua nilipata mmoja tu hvo usiamin san
Hiyo ni incompetence ya huyo aliyekufanyia na sidhani kama inahalalisha unachotaka kuaminisha watu... pole sana mkuu!
 
Jifunze kuhesabu umri wa mimba/ujauzito wa mkeo kwa wiki na sio miezi

Mtoto aliyeko tumboni huanza kugeuka (kutanguliza kichwa chini) akiw na wiki 28... hii huitwa cephalic presentation... mtoto huishi akiwa katika mkao huu/huo hadi anapofikisha umri wa kuzaliwa.

Wapo watoto wanaochelewa kugeuka hadi wiki 34 then baada ya umri huo kugeuka huwa ni miujiza tu. Hii ni kutokana na ukubwa wa mtoto ambao hufanya room ya yeye kujigeuzageuza kuwa ndogo

Ikiwa majibu ya ultrasound yanaonesha umri chini ya wiki 28 basi hoja ya kugeuka ama kutogeuka huwa inakosa nguvu maana kipindi hicho mtoto anakuwa na mijongeo (movements) mingi tumboni... yaani anajigeuzageuza tu atakavyo
 
Aaaah sawa mkuu shukrani sana nmekuelwa na imani na wengne watajifunza pia kuptia ufafanuzi wako
 
Watoto wa Siku hizi hugeuka hata akiwa ametoa kichwa na kumchungulia mama ake makalio yaani hawana adabu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…