Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dunia ni watu na watu ndo sisiHii dunia haina shukrani kabisa, sababu kunenepa utaambiwa unakula sana, ukikonda utaambiwa una roho mbaya ndio maana hunenepi.
Mnataka mtu awe na mwili wa aina gani?
Au naombeni picha za ukubwa wa mwili elekezi kwa dunia ili watu waige hapo.
Hebu weka picha tuone uko aje?kuna jamaa wanaitwa OSHA wananiambia nipunguze kilo 12
sasa sijui nipunguze kula au nifanyeje
sina huo muda
Unaobadilika kulingana na maneno ya watu[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Hii dunia haina shukrani kabisa, sababu kunenepa utaambiwa unakula sana, ukikonda utaambiwa una roho mbaya ndio maana hunenepi.
Mnataka mtu awe na mwili wa aina gani?
Au naombeni picha za ukubwa wa mwili elekezi kwa dunia ili watu waige hapo.
Wanataka ufe wakulisi my wako[emoji3064][emoji3064][emoji3064]kuna jamaa wanaitwa OSHA wananiambia nipunguze kilo 12
sasa sijui nipunguze kula au nifanyeje
sina huo muda
🤣 🤣 🤣 🤣Hebu weka picha tuone uko aje?
Hao Osha ni wauza dawa za kupungua?🤣 🤣 🤣 🤣
Mamlaka ya usalama mahali pa kaziHao Osha ni wauza dawa za kupungua?
huu mwili nimeutafuta kwa shida sana mkuuWanataka ufe wakulisi my wako[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Hebu weka picha tuone uko aje?
😂😂 kama hali iko hivi, 12 zidrop