Hii dunia haina shukrani kabisa, sababu kunenepa utaambiwa unakula sana, ukikonda utaambiwa una roho mbaya ndio maana hunenepi.
Mnataka mtu awe na mwili wa aina gani?
Au naombeni picha za ukubwa wa mwili elekezi kwa dunia ili watu waige hapo.
Yupi?
Umbo pendekezi kwa dunia,ila ukikaa na wanene watakuona bado
Huyu nguo zake mpaka aweke order nje?
Binadamu wana roho mbaya sanahuu mwili nimeutafuta kwa shida sana mkuu
Hapana unajimwambafy tuuYan nikikaa na wembamba niwe kama wao na kibonge nifanane nao au?
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]binadamu na mtu
Tulia Ni mwembambaHii dunia haina shukrani kabisa, sababu kunenepa utaambiwa unakula sana, ukikonda utaambiwa una roho mbaya ndio maana hunenepi.
Mnataka mtu awe na mwili wa aina gani?
Au naombeni picha za ukubwa wa mwili elekezi kwa dunia ili watu waige hapo.
[emoji16][emoji16][emoji3064][emoji3064][emoji3064]binadamu na mtu
Hakuna SI unit kwenye kula wala wembamba..!!! Is how you feel..!!!Hii dunia haina shukrani kabisa, sababu kunenepa utaambiwa unakula sana, ukikonda utaambiwa una roho mbaya ndio maana hunenepi.
Mnataka mtu awe na mwili wa aina gani?
Au naombeni picha za ukubwa wa mwili elekezi kwa dunia ili watu waige hapo.
na tunawakera ili wajue namna bora ya kula wasije kufa kisa ulajiKuambiwa unakula sana ni kero