MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Hivi leo unapewa wasaha wa kuwa moderator utafanya nini?
Utabadili jina jukwaa lipi?
Utaongeza jukwaa lipi?
Nani lazima achezee BAN za kufa mtu?
Binafsi jukwaa la Siasa na Mapenzi na Urafiki ningeyapa majina stahiki. Sitaki kuyasema hapa kabisaaaa hayo majina.
Mwenzangu utafanya nini?
Utabadili jina jukwaa lipi?
Utaongeza jukwaa lipi?
Nani lazima achezee BAN za kufa mtu?
Binafsi jukwaa la Siasa na Mapenzi na Urafiki ningeyapa majina stahiki. Sitaki kuyasema hapa kabisaaaa hayo majina.
Mwenzangu utafanya nini?