Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wasalaam!
Nimewaza kitu.
Ukiwa kiongozi mkubwa serikalini (top layer) na wewe ni mtumiaji wa vilevi ama mla bata sana, unafanyaje kuenjoy ?
Unaletewa home au unatoka out kwa usiri mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaza kitu.
Ukiwa kiongozi mkubwa serikalini (top layer) na wewe ni mtumiaji wa vilevi ama mla bata sana, unafanyaje kuenjoy ?
Unaletewa home au unatoka out kwa usiri mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app