Ukiwa muajiriwa sehemu ogopa sana watu aina 5

Ukiwa muajiriwa sehemu ogopa sana watu aina 5

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
1. Wale wakongwe wa ofisi -Wakikuchukia utachukia kazi. Wakikupenda utafurahia.

2. Sekretari - Huyu ni shushu wa bosi. Kila kitu cha hapo ofisini kinamfikia bosi direct.

3. Wafanya usafi - Hawa wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo limetokea na linahitaji mtu atayesema ukweli. Ni watu reliable.

4. Mamesenja - Unawakuta wamekaa tu ila wanajua kila kitu cha ofisi.

5. Walinzi - Hawa aisee nao wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo la kuhutaji ukweli huwa wanasema. Bila kupindisha.
 
1. Wale wakongwe wa ofisi. Wakikuchukia utachukia kazi. Wakikupenda utafurahia.

2. Sekretari. Huyu ni shushu wa bosi. Kila kitu cha hapo ofisini kinamfikia bosi direct.

3. Wafanya usafi. Hawa wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo limetokea na linahitaji mtu atayesema ukweli. Ni watu reliable.

4. Mamesenja. Unawakuta wamekaa tu ila wanajua kila kitu cha ofisi.

5. Walinzi. Hawa aisee nao wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo la kuhutaji ukweli huwa wanasema. Bila kupindisha.
Ishi na watu vizuri,tumia akili Yako vizuri,Tenda mema na fuata taratibu!
 
1. Wale wakongwe wa ofisi -Wakikuchukia utachukia kazi. Wakikupenda utafurahia.

2. Sekretari - Huyu ni shushu wa bosi. Kila kitu cha hapo ofisini kinamfikia bosi direct.

3. Wafanya usafi - Hawa wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo limetokea na linahitaji mtu atayesema ukweli. Ni watu reliable.

4. Mamesenja - Unawakuta wamekaa tu ila wanajua kila kitu cha ofisi.

5. Walinzi - Hawa aisee nao wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo la kuhutaji ukweli huwa wanasema. Bila kupindisha.
6.mpenda chama cha ccm kindakindaki.Hawa wanaweza kukupa gori la mkono kitengo chochote
 
1. Wale wakongwe wa ofisi -Wakikuchukia utachukia kazi. Wakikupenda utafurahia.

2. Sekretari - Huyu ni shushu wa bosi. Kila kitu cha hapo ofisini kinamfikia bosi direct.

3. Wafanya usafi - Hawa wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo limetokea na linahitaji mtu atayesema ukweli. Ni watu reliable.

4. Mamesenja - Unawakuta wamekaa tu ila wanajua kila kitu cha ofisi.

5. Walinzi - Hawa aisee nao wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo la kuhutaji ukweli huwa wanasema. Bila kupindisha.
Zaidi kaa vizuri na watu wa hali chini;
Walinzi
Mesenjaz
Wafagizi
Zekretariz
Wakikuomba za chai usiwanyime
 
kwa ujumla hawa watu wote wanaolipwa mshahara kima cha chini ni hatari sana maofisini kuuza mchoro ni dakika moja,njia pekee ni ukiona anaingia anga zako mvunje bega mapema kabla hajakomaa
Kuna wengine pia sio kima Cha chini ila hatari sana. Kuna Moja alikuja interview nikamfanyia, nikampigia na debe Kwa boss kubwa akapita. Yaani hata mwezi alikuwa hajamaliza akataka kupanda watu vichwani. Akajifanya kujenga ukaribu na baadhi ya watu ajiwemo afisa rasilimali akidhani hakuna Cha kufanya. Nikamuionya mara kadhaa hakusikia; Kuna siku akajichanganya nikampigia na kitu kizito na ndio ilikuwa siku yake ya mwisho kufanya kazi. 🤣🤣🤣
 
Kujifanya unapenda sana kazi kunakuaje mkuu? Kutimiza majukumu uliyopewa kwa usahihi au?
Kutimiza majukumu Ndio kazi yenyewe hyo..

kupenda kazi kupitiliza ni kwenda beyond ya wenzako wanacho fanya

mfano: Assignments ni jukumu lako ila kuna mtu atanyoosha mkono juu atamwambia mwalimu umesahau kutoa assignment lazma utaonekana snich tu
 
Back
Top Bottom