Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani naongea kwa uzoefu, hawa watu waliwahi kuniokoa sana mahali, uzuri ni nilikuwa nawajali hadi nauli wakiniomba, huwezi amini walifaa kuliko msaada niliokuwa nawapaUnachosema ni kweli haswa hawa wafagizi wanaweza ingia sehemu ambayo subordinate mwingine hakanyagi
Watu wa kima cha kati gross yao ikoje au take home?.Kuna hawa majamaa kila muda ana lalamika kuwa kuajiriwa ni utumwa lakini
Nenda rudi yupo pale pale
Aiseh maisha ya maofini kwa watu kima cha kati ni vichekesho sana
Huku ndio kupigwa ulie na ukilia unapigwa unyamaze 😂😂Piga spana Gen Z mpaka azibuke akili
Mkuu tusimulie ilikuaje hivyo?Kuna wengine pia sio kima Cha chini ila hatari sana. Kuna Moja alikuja interview nikamfanyia, nikampigia na debe Kwa boss kubwa akapita. Yaani hata mwezi alikuwa hajamaliza akataka kupanda watu vichwani. Akajifanya kujenga ukaribu na baadhi ya watu ajiwemo afisa rasilimali akidhani hakuna Cha kufanya. Nikamuionya mara kadhaa hakusikia; Kuna siku akajichanganya nikampigia na kitu kizito na ndio ilikuwa siku yake ya mwisho kufanya kazi. 🤣🤣🤣
Watu wa kima cha kati gross yao ikoje au take home?.
One principle of them all, isiogope kwakongwe ila waheshimu.1. Wale wakongwe wa ofisi -Wakikuchukia utachukia kazi. Wakikupenda utafurahia.
2. Sekretari - Huyu ni shushu wa bosi. Kila kitu cha hapo ofisini kinamfikia bosi direct.
3. Wafanya usafi - Hawa wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo limetokea na linahitaji mtu atayesema ukweli. Ni watu reliable.
4. Mamesenja - Unawakuta wamekaa tu ila wanajua kila kitu cha ofisi.
5. Walinzi - Hawa aisee nao wanaweza kukusevu. Kama kuna jambo la kuhutaji ukweli huwa wanasema. Bila kupindisha.
Mkuu naona leo tumesahau kutumia neno "mababu"Kujifanya unapenda sana kazi kunakuaje mkuu? Kutimiza majukumu uliyopewa kwa usahihi au?
Wewe ni mutu mubaya Sana papaa.Kuna wengine pia sio kima Cha chini ila hatari sana. Kuna Moja alikuja interview nikamfanyia, nikampigia na debe Kwa boss kubwa akapita. Yaani hata mwezi alikuwa hajamaliza akataka kupanda watu vichwani. Akajifanya kujenga ukaribu na baadhi ya watu ajiwemo afisa rasilimali akidhani hakuna Cha kufanya. Nikamuionya mara kadhaa hakusikia; Kuna siku akajichanganya nikampigia na kitu kizito na ndio ilikuwa siku yake ya mwisho kufanya kazi. 🤣🤣🤣
Ila ni kweli kabisa ukiwa na bidii na kazi yako wengi wanakuona mnaa utapewa majina mengi sana.Nimesshangaa sana ukijituma kazini unaonekana unapenda sana KAZI dahh
Wabongo tumeshindikana😃