little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Ndiyo tunarejea kuwa " NEVER OUTSHINE THE MASTER"Ila ogopa sana ukiona jina lako ni maarufu kuliko wakubwa zako
Robert Greene kwenye 48 laws of power..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tunarejea kuwa " NEVER OUTSHINE THE MASTER"Ila ogopa sana ukiona jina lako ni maarufu kuliko wakubwa zako
Mgeni wa Jiji umeongea kitu kikubwa Sana, wachache wanaelewa hiliKitu kinanishangaza ni wale watu wenye elimu ndogo huwa ndio wanabeba hatima za wafanyakazi wengi hadi mabosi.
Nadhani elimu ya shule inakosesha watu wengi elimu halisi ya maisha.
Siwezi kuweka details nitafichua id yangu kama wale wanaolijua tukio wako humu. Ila Kwa kifupi alianza kuni snich na akataka kunifundisha kazi. Ikabidi nimuinehse kuwa usicheze na watu no. 1 ya mleta Uzi. Aliko huko haamini maana alijua akimpa afisa rasilimali utelezi atakuwa salama😂Mkuu tusimulie ilikuaje hivyo?
Mbwa akipandishwa juu ya mtu hapaswi kuwabwekea waliompandisha watamshusha tu. Jifunzeni kuheshimu watu wanaowabeba kwenye kazi na mjifunze kuwaheshimisha wanaowaleta. Nilimuonya sana lakini akaona kama utani. Nikifanya hivyo iwe fundisho Kwa wengine. Kuna watu wako ofisini unajua kabisa uwezo wake mdogo lakini Kwa sababu Wana heshima unawabeba Kwa hali na mali Kwa kuwakingia kifua pale wanapo haribu. Ila kama heshima huna alafu kazi hujui tutakuonesha kuwa hujui kama hujuiWewe ni mutu mubaya Sana papaa.
Yaani hilo ni kawaida sana. Unachotakiwa kufanya ni kuziba masikio. Siku zote simamia kazi yako na usionee mtu wala kumsema mtu siku zote mafuta na maji hujitenga.Ila ni kweli kabisa ukiwa na bidii na kazi yako wengi wanakuona mnaa utapewa majina mengi sana.
Mkuu kwema lakini.Yaani naongea kwa uzoefu, hawa watu waliwahi kuniokoa sana mahali, uzuri ni nilikuwa nawajali hadi nauli wakiniomba, huwezi amini walifaa kuliko msaada niliokuwa nawapa
Hahahahahah ni utumwa kama unaweza kutengeneza mshahara wako mara mbili au tatu nje ya ofisi.Kuna hawa majamaa kila muda ana lalamika kuwa kuajiriwa ni utumwa lakini
Nenda rudi yupo pale pale
Aiseh maisha ya maofini kwa watu kima cha kati ni vichekesho sana