Ukiwa muhitimu hapa Bongo na hauna mchongo wa kukup hela, au connection hamna rangi utaacha kuiona mtaani

Ukiwa muhitimu hapa Bongo na hauna mchongo wa kukup hela, au connection hamna rangi utaacha kuiona mtaani

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada ake then anaenda kuchukua cheti chuoni na kweli alienda chuoni dom then akarudi tena pale kwa dada ake tokea mwezi wa saba hadi now bado yupo pale kwa sista na sista life ni la kuungaunga.

Sasa kilicho nifanya nilete hii story hapa ni kwamba huyu dada ake jamaa ni kama kamchoka jamaa anatamani arejee kwao ila hafunguki direct kwa kijana, mara nyingi ananiita na kunitaka nimshauri jamaa, mara anategea kazi za home, hachangii chochote pale home, mara kuna mda anamuwekea jamaa msosi mfano night mwana hatokei kula msosi hadi msosi unakua kiporo.

Sasa sista ananiambia nimshauri jamaa akachukue mahindi kwao kwa ajiri ya msosi au awe anatoa hela kwa lugha ya picha nikama sista kamchoka jamaa anatamani arejee kwao na kijana inaonesha hataki kurudi kijijini yani imefikia stage jamaa hata kula anakula kwa kuungaunga, Sasa sista kaniambia nimshauri huyu kijana ila mie sijajua hata naanzia wapi.

Na leo ni mara ya pili tena kaniita kwamba nimuelekeze kijana, ila kwaharaka haraka nikwamba inabidi nimshauri jamaa arudishe mpira kwa kipa yani arejee kijijini ila nikimtizama mwana ni kama hataki.

Ni njia ipi sahihi nitumie kufikisha ujumbe wa sista kwa kijana bila kumfanya jamaa ajisikie vibaya ukizingatia mwenyewe mambo yangu bado magumu sina msaada zaidi ya kumshauri. Karibuni.
 
47e2e6e3b0bcc48f0bce0849c28db129.jpg
 
Mchane ukwel uyo jamaa kuwa anazingua.
 
Daah changamoto kubwa hali anayo pitia mtu asie kua namchongo wowote wakazi inaumiza sana ila mimi nakushauli kiume ikiwa hapo au unapo endaga kibaruani ikiwa kunanafasi yayeye kupata chochote basi fanya hivo.
Nahii nikwakua mwamba anaonesha juu yamtazamo wake kua anamapenzi nauwepo wahapa mjini.
Nazaidi ikia ngumu mwite jamaa mwambie kiume tunga hata hadithi inayo elezea picha halisi ilivyo upande wa jamaa naimani atakuelewa na atachukua hatua.
 
Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada ake then anaenda kuchukua cheti chuoni na kweli alienda chuoni dom then akarudi tena pale kwa dada ake tokea mwezi wa saba hadi now bado yupo pale kwa sista na sista life ni la kuungaunga. Sasa kilicho nifanya nilete hii story hapa ni kwamba huyu dada ake jamaa ni kama kamchoka jamaa anatamani arejee kwao ila hafunguki direct kwa kijana, mara nyingi ananiita na kunitaka nimshauri jamaa, mara anategea kazi za home, hachangii chochote pale home, mara kuna mda anamuwekea jamaa msosi mfano night mwana hatokei kula msosi hadi msosi unakua kiporo. Sasa sista ananiambh nimshauri jamaa akachukue mahindi kwao kwa ajiri ya msosi au awe anatoa hela kwa lugha ya picha nikama sista kamchoka jamaa anatamani arejee kwao na kijana inaonesha hataki kurudi kijijini yani imefikia stage jamaa hata kula anakula kwa kuungaunga, Sasa sista kanambh nimshaur huyu kijana ila mie sijajua hata naanzia wapi. Na leo ni mara ya pili tena kaniita kwamba nimuelekeze kijana, ila kwaharaka haraka nikwamba inabid nimshauri jamaa arudishe mpira kwa kipa yani arejee kijijini ila nikimtizama mwana ni kama hataki. Ni njia ipi sahihi nitumie kufikisha ujumbe wa sista kwa kijana bila kumfanya jamaa ajisikie vibaya ukizingatia mwenyew mambo yang bado magumu sina msaada zaidi ya kumshauri. Karibuni.
Mjinga tu jamaa watu tupo kijijini na tunakula mara Tatu kwa siku mwambieni "Kijana toka unajaza Choo"
 
Kaka jaribu kuandika kwa paragraph..

Kwanini nakushauri hivo
Hi ni kwasababu unaleta mtiririko mzuri wa kusoma hivo hutoweza kumchosha msomaji..
Ni ushauri wangu tu kwako
 
Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada ake then anaenda kuchukua cheti chuoni na kweli alienda chuoni dom then akarudi tena pale kwa dada ake tokea mwezi wa saba hadi now bado yupo pale kwa sista na sista life ni la kuungaunga. Sasa kilicho nifanya nilete hii story hapa ni kwamba huyu dada ake jamaa ni kama kamchoka jamaa anatamani arejee kwao ila hafunguki direct kwa kijana, mara nyingi ananiita na kunitaka nimshauri jamaa, mara anategea kazi za home, hachangii chochote pale home, mara kuna mda anamuwekea jamaa msosi mfano night mwana hatokei kula msosi hadi msosi unakua kiporo. Sasa sista ananiambh nimshauri jamaa akachukue mahindi kwao kwa ajiri ya msosi au awe anatoa hela kwa lugha ya picha nikama sista kamchoka jamaa anatamani arejee kwao na kijana inaonesha hataki kurudi kijijini yani imefikia stage jamaa hata kula anakula kwa kuungaunga, Sasa sista kanambh nimshaur huyu kijana ila mie sijajua hata naanzia wapi. Na leo ni mara ya pili tena kaniita kwamba nimuelekeze kijana, ila kwaharaka haraka nikwamba inabid nimshauri jamaa arudishe mpira kwa kipa yani arejee kijijini ila nikimtizama mwana ni kama hataki. Ni njia ipi sahihi nitumie kufikisha ujumbe wa sista kwa kijana bila kumfanya jamaa ajisikie vibaya ukizingatia mwenyew mambo yang bado magumu sina msaada zaidi ya kumshauri. Karibuni.
Mmmmm nani atakupchongo hata barua kuomba kazi unaweza kuandika kweli? Cover letter haina paragraphs etc duuuu jiajiri tu ndugu yangu ajira kwa wavhache sanaa
 
Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada ake then anaenda kuchukua cheti chuoni na kweli alienda chuoni dom then akarudi tena pale kwa dada ake tokea mwezi wa saba hadi now bado yupo pale kwa sista na sista life ni la kuungaunga. Sasa kilicho nifanya nilete hii story hapa ni kwamba huyu dada ake jamaa ni kama kamchoka jamaa anatamani arejee kwao ila hafunguki direct kwa kijana, mara nyingi ananiita na kunitaka nimshauri jamaa, mara anategea kazi za home, hachangii chochote pale home, mara kuna mda anamuwekea jamaa msosi mfano night mwana hatokei kula msosi hadi msosi unakua kiporo. Sasa sista ananiambh nimshauri jamaa akachukue mahindi kwao kwa ajiri ya msosi au awe anatoa hela kwa lugha ya picha nikama sista kamchoka jamaa anatamani arejee kwao na kijana inaonesha hataki kurudi kijijini yani imefikia stage jamaa hata kula anakula kwa kuungaunga, Sasa sista kanambh nimshaur huyu kijana ila mie sijajua hata naanzia wapi. Na leo ni mara ya pili tena kaniita kwamba nimuelekeze kijana, ila kwaharaka haraka nikwamba inabid nimshauri jamaa arudishe mpira kwa kipa yani arejee kijijini ila nikimtizama mwana ni kama hataki. Ni njia ipi sahihi nitumie kufikisha ujumbe wa sista kwa kijana bila kumfanya jamaa ajisikie vibaya ukizingatia mwenyew mambo yang bado magumu sina msaada zaidi ya kumshauri. Karibuni.
Kwanza ukiandika tena kumbuka kutenga aya kwenye maandishi yako. Usiunganishe sentensi kama unapiga ramli.

Dada yako ni mojawapo ya watu wanaomkwamisha huyo graduate. Amempa comfort zone kijana haoni changamoto wala hajifunzi. Chuo mwenyewe nimemaliza 2022 na nimeishapitia mabadiliko ya lifestyle, misimamo, misoto, kufeli hapa na pale na hata sasa hivi nimetoka kukopa 1M usiku huu nitatue jambo langu la ghafla.

Sasa huyo jamaa bado kula kulala hataki shida, hataki changamoto na anapata mtu wa kufuga ugonjwa wake. Huyo jamaa hawezi kuja kuwa baba bora wa familia, anaishije kwa mtu anakula na kulala bila kuchangia walau kidogo. Hao si ndio wanazalisha na kukimbia familia.

La saba B wanajitegemea hawaleti visingizio, graduate tuna visingizio vingi. Mwambie huyo jamaa yako asipende mambo makubwa na vitu vingi, maisha yasipompa anachokitaka achukue anachokipata. Sasa alitamani azunguke kwenye viyoyozi sijui na suti hataki kazi ndogo au kuumiza kichwa. Sasa si ni kama chuo alienda kukalia vimbweta tu.
 
Wewe kumshauri haitasadia, inabidi mtu wa karibu hata awe wa kijijini kwao huko amchane dogo afanye kazi yoyote halali aondoke hapo kwa sista kawa mzigo.

wewe utaonekana snich tu
 
Ila familia za kimasikini bana ,na akili za kimasikini hivyo hivyo .
Sasa chakula na makazi nacho ni kitu cha kukufanya ukawa mchoyo na roho ya kutu hivyo ? Tena mdogo wako
Majitu yanayoendekeza roho za kutu kama hivyo huwa ni takataka , sana
Fighting for scraps , the real hunger game shit
 
Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada ake then anaenda kuchukua cheti chuoni na kweli alienda chuoni dom then akarudi tena pale kwa dada ake tokea mwezi wa saba hadi now bado yupo pale kwa sista na sista life ni la kuungaunga. Sasa kilicho nifanya nilete hii story hapa ni kwamba huyu dada ake jamaa ni kama kamchoka jamaa anatamani arejee kwao ila hafunguki direct kwa kijana, mara nyingi ananiita na kunitaka nimshauri jamaa, mara anategea kazi za home, hachangii chochote pale home, mara kuna mda anamuwekea jamaa msosi mfano night mwana hatokei kula msosi hadi msosi unakua kiporo. Sasa sista ananiambh nimshauri jamaa akachukue mahindi kwao kwa ajiri ya msosi au awe anatoa hela kwa lugha ya picha nikama sista kamchoka jamaa anatamani arejee kwao na kijana inaonesha hataki kurudi kijijini yani imefikia stage jamaa hata kula anakula kwa kuungaunga, Sasa sista kanambh nimshaur huyu kijana ila mie sijajua hata naanzia wapi. Na leo ni mara ya pili tena kaniita kwamba nimuelekeze kijana, ila kwaharaka haraka nikwamba inabid nimshauri jamaa arudishe mpira kwa kipa yani arejee kijijini ila nikimtizama mwana ni kama hataki. Ni njia ipi sahihi nitumie kufikisha ujumbe wa sista kwa kijana bila kumfanya jamaa ajisikie vibaya ukizingatia mwenyew mambo yang bado magumu sina msaada zaidi ya kumshauri. Karibuni.
Hili ndilo tatizo la mavi-jana ya kitanzania. Yanataka kujaza vyoo bure tu bila kazi. Sasa kama hana mishe hapo town anasubiri nini kurudi kijijini? Mbona kuna vijiji hata Tanzania maisha yako poa tu? Unaenda kwa mtu ambaye naye bado anajitafuta kwenda kumwongezea gharama tu! Kwangu kuna Binamu (wa kuungaunga) yake na wife naye alivyamia hivyo hivyo sasa hataki hata kumsaidia Binamu yake dukani, akitumwa kupeleka mzigo kwa mteja analalamika na huwa lote hili? Pumbavu kabisa!
 
Back
Top Bottom