Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Labda mimi mwenyewe ndio sijaelewa vizuri leo wakati mapato na matumizi yakisomwa wanasema udhamini wa m.bet ni b.2.5 kwa mwaka ndiyo wanayopewa wakati thamani ya mkataba waliyowatangazia wanachama wao ni b.26, Sasa inakuwaje wanapewa b.2.5 kwa mwaka wakati walitakiwa wapewe b.5.2 kwa mwaka kwa mkataba wa miaka 5 waliyodhaminiwa? Kwa maana iyo walidanganya thamani halisi ya mkataba wao ambao ukipiga hesabu una thamani ya b.12.5 kwa miaka 5 kama wanapewa 2.5 b. Kila mwaka, Mzee Rage apewe heshima yake bwana maana neno "mbumbumbu" linaakisi mambo mengi sana