Ukiwa Mwanaume Malaya sana Lazima uzae Mtoto wa kwanza wa Kike ni kweli jamani?

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
3,695
Reaction score
5,531
Ebu tusaidiane juu ya hili maana sijui lina ukweli eidha ni imani potofu tu ya watu walojijengea..

Imekuwa ikivuma sana na wakat mwingine pia kujitokeza katika jamii yetu...ukiwa Mwanaume malaya sana basi lazima mwanao wa kwanza awe wakike..

Wapo wanaosema kuwa unalipa deni...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Naombeni wajuzi wa haya mambo waje wanipe msaada ni kweli hili jambo au ni maneno tu
 

Yap mara nyingi hutokea hivyo ili na Wewe pia ' wakuchapie ' ili ukome na ubaya zaidi ' Masela ' wakishajua tu kuwa Binti huyu ni wa Nyoka_Mzee ndiyo hukanyagia ' Mbunye ' kwa ukucha huku wakielekeza ' Mikuyenge ' yao Nyuzi zote 360.
 
Nimekushtukia utakuwa umetumwa na Hamisa mobeto...Ila kama kuna ka ukweli flani hivi!maana mpaka sasa nimeshawapata 7.
 
Story za kwenye kahawa tu hizi.... Umalaya wangu wote mwanangu wa kwanza ni dume,pili dume,labda wa tatu nakuendelea huko......
 
Yap mara nyingi hutokea hivyo ili na Wewe pia ' wakuchapie ' ili ukome na ubaya zaidi ' Masela ' wakishajua tu kuwa Binti huyu ni wa Nyoka_Mzee ndiyo hukanyagia ' Mbunye ' kwa ukucha huku wakielekeza ' Mikuyenge ' yao Nyuzi zote 360.
Hahaha unakichaa ww lol[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ntauwa mtu aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…