Kwa akili za Kitanzania na kwa akili za 'team Mange kasema' huenda ikawa ni kweli.
Lakini wenye akili zao watahoji hivi....uhusiano wa moja kwa moja wa kibaiolojia ni upi? Uko wapi?
Hapo ndipo utaiona tofauti kati ya akili yenye akili na akili isiyo na akili.
Nuff said.