Ukiwa na haya umekula bingo Kwa Zama hizi

Ukiwa na haya umekula bingo Kwa Zama hizi

Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.

😀😀
 
Yeah! Nimewahi! Hasa NAIROBI.
Wakenya wengi hawajui kingereza cha moja Kwa moja, wanàongea tumia code mix
Usitudanganye Robati, Kenyans almost wote wanajua kuandika kiingereza fasaha.

Na zaidi ya 80% wanazungumza kiingereza fasaha kuliko taifa lolote Africa yani hakuna nchi Africa inayozungumza kiingereza kama wao.

Mbona hawana hayo mafanikio?
 
Sasa utawalinganisha Kenya na watanzania?
Alafu sio kila mkeñya anajua kingereza
Usiwe mbishi, Mtanzania kwa mkenya ni mjinga tu na hana ujanja wowote.
Wale jamaa hakuna kitu hawatuzidi kuanzia wizi, mpaka hela, Loitoktok iko mpakani tu ila watu wanapiga ung'eng'e ajabu na niwatu ambao hawajafika hata class 8
 
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
First impression aise hi kitu is very important
 
Back
Top Bottom