Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
😀😀