Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
Point namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
Ardhi na mashamba umenigusa huko kwingine hapana
Kwenye ardhi yenye maji umenipa ujasiri wa kusonga mbele.
Umewahi kufika Kenya?Kingereza Mkuu ukiwa nacho alafu ukajua kuchangamana na Ulimwengu ninakuhakikishia Dunia hii ni yako
Unawajua Kenyans?Kujua kingereza au lugha yoyote kubwa kimataifa.
Unawajua Kenyans?
Unataka kusema nini kuwahusu?
Umewahi kufika Kenya?
Usitudanganye Robati, Kenyans almost wote wanajua kuandika kiingereza fasaha.Yeah! Nimewahi! Hasa NAIROBI.
Wakenya wengi hawajui kingereza cha moja Kwa moja, wanàongea tumia code mix
Usiwe mbishi, Mtanzania kwa mkenya ni mjinga tu na hana ujanja wowote.Sasa utawalinganisha Kenya na watanzania?
Alafu sio kila mkeñya anajua kingereza
Ujuzi ni muhimu sanaVipi kuhusu ujuzi?
First impression aise hi kitu is very importantPoint namba 4 sio kwa wanawake tu. Hata mwanaume ukiwa na haiba nzuri ni mtaji. Kwa mfano wengi wetu tukiwa watoto tulikuwa tunadhani wanaovaa miwani wana akili. Mimi nilivyoanza form one wale wavaa miwani automatically niliwaona wana uwezo mkubwa kiakili. Kwenye interview mkiwa na sifa zinazofanana kitaaluma yule mwenye haiba yenye mvuto ana chances za kushinda.
Na nimeona amempost kwenye nyuzi kadhaa nilizozisoma jana na leo. Sijui kwanini?Huyu unayempost ni wewe? Au unapost Kwa ridhaa yake?
Na nimeona amempost kwenye nyuzi kadhaa nilizozisoma jana na leo. Sijui kwanini?
Huyo ni mpwayungu village mzee wa kutaka kuwa mwanamke, hapo ana maanisha kuwa mwanamke ni fursa tosha tofauti na sisi wanaume, wao wanakaa na pesa zinawafuata, anasisitiza ukiwa mwanamke mrembo ni zaidi ya kuwa na master degree🙏🙏🙏unapotea
Wakenya lugha yao ya taifa ni kiingerezaSasa utawalinganisha Kenya na watanzania?
Alafu sio kila mkeñya anajua kingereza