Hata jina lake hujasave umeandika tu nesi inaonekana huyu ni wa kuchapa na kuachaKama kichwa cha habari kilivyo, ila sio kweli labda huyo wa kwako!
View attachment 1421697
Na sijutii hadi sanitizer napewa buree[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Umenikumbusha goma la Dr Dre, bonge la beat halichoshi !!Been there, Done that.
Ulikuwa BugandoHapana ni Radiographer
Ulikuwa Bugando
Hata wao kwa wao na madoctor usiku wakiwa shift wanamaliza kwenye vyumba vya OPD
Nimemsoma mapemaaa 😂Bado anampenda.
Haya mkuuMimi sijasema manesi ni malaya mkuu ila nimesema ukiwa na mahusiano nao uwe na moyo mgumu tu kutokana na jins kaz zao zilivyo hazihitajiki uwe na wivu
GunFire
Ulikula au ulipita tu?Niliwapata wawili ndani ya hospitali moja. Nikiwa nauguza
Sijui tatizo lako nini? Aliweka code nika decodeEssence ya anonymity JF iko wapi hapa
Ulikuwa humsugui /Hugegedi vizuri huyo! Hivyo akaamua kutafuta atakae msugua Vizuri! OverWakuu katika harakati zangu niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja ambae ni Nesi huyu nili-plan had kumuoa ili tusaidiane kwenye maisha.
Hatua za mwisho za mahusiano yetu alianza kunidanganya yupo shift za usiku kila siku, lakini hali ilizidi hadi nikahisi hatari nikiwa kama binadamu mwenye moyo nilianza kumchunguza, siku 1 nilienda sehemu anayofanya kazi night lakini wale wafanyakazi wenzake wakaniambia hayupo na siku hiyo alisomeka off duty, ilibidi niondoke tu nikakaa kimya.
Asubuhi nikamuuliza jana ulikuwa kazini? Akaanza kunijibu "kwani sikukwambia kuwa nipo shift ya usiku? Au unaniona malaya? "
Ilibidi nitumie busara za kiume tu nikamwambia samahani nilisahau, siku zilienda mapenzi yakapungua kumbe alikuwa anatembea na mkuu wake wa kazi. Nilijaribu tena kwenda night kwa baadhi ya siku zingine zilizofata na baadae nilichoka.
Siku moja nikamwita nikamueleza ukweli wote na vithibitisho vya kutosha baadae nikamwambia "kama tulivyopendana kwa wema naomba mapenzi yetu nayo yaishe kwa wema, nilikupenda sana lakini kwa sasa mapenzi yamegonga ukuta. Naomba uendelee na maisha yako nami niendelee na maisha yangu"
Aliniomba msamaha lakini nilishindwa kabisa kumsamehe na nilishukuru kwa kuyatambua yale mapema pengne ningekuja kuyatambua wakati tumeoana ingekuwa ni msalaba mzito zaidi kwangu
GunFire
Nurse na askari hao sio Wa kuolewa Bali ni Wa kuwazalisha tu.. Hao wanawezana wao kwa wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijihurumia sikuwa na zanaUlikula au ulipita tu?
Hongera kwa kujihurumiaNilijihurumia sikuwa na zana