Ukiwa na mahusiano na nurse (nesi) uwe na moyo mgumu

Hata jina lake hujasave umeandika tu nesi inaonekana huyu ni wa kuchapa na kuacha

GunFire
 
bado unapokea jumbe zake za msamaha..?????
 
Salama kwa mwanamke ni kukaa nyumbani, alelee watoto na kuweka mambo mazuri kwake ili mume akirudi akute utulivu wa hali ya juu.

Ama ukitaka kuoa hawa wanaokimbizana na watu mabarabarani au kokote kule... Usilalame...

Usipotaka kusikia, basi kama ulivyoamua kulifumbia macho hilo la kukaa ndani, basi fumbia macho pia hizo tabia utakazo ziona.

Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
 
Ulikuwa humsugui /Hugegedi vizuri huyo! Hivyo akaamua kutafuta atakae msugua Vizuri! Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…