Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana.Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
🤣🤣 Hakika hakika 🥴Ngoja nijisogeze mbeya hapo , maana mafinga -mbeya ni karibu tuu ..😅😅
umemaliza brooKama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu [emoji117]Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Juhudi tena?Inategemea na Ukubwa wa juhudi zako nadhani
hapo bahati inatakuwa iwe mwishoMafanikio hayana muda wala umri
Ukipata haya katika umri wowote unatoboa
1 fursa
2 bahati
3 bidii
📌 this post from Unju au screenshot kabisa, utanikumbuka, 🫡 Unju Ibn UnuqKama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
✊🏿✊🏿📌 this post from Unju au screenshot kabisa, utanikumbuka, 🫡 Unju Ibn Unuq
✊🏿✊🏿umemaliza broo
Aaaaaaaaaah iko Sawa Sana... Usikosea Ata wakukumbuka kweliHiyo miaka 35, jishushe miaka 10 alafu fanya kazi zozote halali ambazo zinaendana au kukaribiana na zile unazozipenda..
Angalia manzi mwenye kujiweza kidogo au angalau kwao ugali uwe haukai , mtandike mimba huku unaendelea kupambana
Hii Hapa inaitwa Siri ya kambi halaliKama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Kuna mtu alijaribu vyote ulivyotaja na vyote vikafeli vibaya kaja kufanikiwa kwenye maua ndio yamemkubari kuku bata sungura sijui bustani vyoooote vimemkataa bustani ya maua ndio imekubari na yenyewe sio kivile kafungua genge asubuhi mpaka saa 4 usiku anapata mteja mmoja tuKama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Una undugu na Mama Maria Nyerere? Umeandika kwa busara sana.Haujachelewa kutafuta maendeleo.ni process endelevu nionavyo.labda familia ndo unachelewa hasa mtoto
Ila masuala ya maendeleo na kutafuta pesa,magari nk mi naamini kikubwa uzima tu na afya njema
Huyo jamaa ni mghairishaji, Mghairishaji hajawahi faulu hata siku moja.Kuna mtu alijaribu vyote ulivyotaja na vyote vikafeli vibaya kaja kufanikiwa kwenye maua ndio yamemkubari kuku bata sungura sijui bustani vyoooote vimemkataa bustani ya maua ndio imekubari na yenyewe sio kivile kafungua genge asubuhi mpaka saa 4 usiku anapata mteja mmoja tu