Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Asante sana.
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu [emoji117]Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
umemaliza broo
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
📌 this post from Unju au screenshot kabisa, utanikumbuka, 🫡 Unju Ibn Unuq
 
Hiyo miaka 35, jishushe miaka 10 alafu fanya kazi zozote halali ambazo zinaendana au kukaribiana na zile unazozipenda..
Angalia manzi mwenye kujiweza kidogo au angalau kwao ugali uwe haukai , mtandike mimba huku unaendelea kupambana
Aaaaaaaaaah iko Sawa Sana... Usikosea Ata wakukumbuka kweli
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Hii Hapa inaitwa Siri ya kambi halali
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Kuna mtu alijaribu vyote ulivyotaja na vyote vikafeli vibaya kaja kufanikiwa kwenye maua ndio yamemkubari kuku bata sungura sijui bustani vyoooote vimemkataa bustani ya maua ndio imekubari na yenyewe sio kivile kafungua genge asubuhi mpaka saa 4 usiku anapata mteja mmoja tu
 
Haujachelewa kutafuta maendeleo.ni process endelevu nionavyo.labda familia ndo unachelewa hasa mtoto

Ila masuala ya maendeleo na kutafuta pesa,magari nk mi naamini kikubwa uzima tu na afya njema
Una undugu na Mama Maria Nyerere? Umeandika kwa busara sana.
 
Kuna mtu alijaribu vyote ulivyotaja na vyote vikafeli vibaya kaja kufanikiwa kwenye maua ndio yamemkubari kuku bata sungura sijui bustani vyoooote vimemkataa bustani ya maua ndio imekubari na yenyewe sio kivile kafungua genge asubuhi mpaka saa 4 usiku anapata mteja mmoja tu
Huyo jamaa ni mghairishaji, Mghairishaji hajawahi faulu hata siku moja.

Mghairishaji kosa likitokea anafunga kurasa anaangalia kitu kipya akifeli tena hivyohivyo anaangalia kitu kipya.

Mafanikio yanahitaji ung'ang'anizi ukifeli unaangalia ulikosea wapi, unaanza upya kwa akili nyingine.

Huyo jamaa yako kila alichokua anajaribu akiona changamoto anaacha anaangalia kingine, laiti angekazania hizo kuku na bata, akifeli anaangalia alifeli wapi ili aboreshe zaidi sasahivi angekua namba nyingine kabisa.

Watu wenye akili za kitajiri hawakimbii changamoto, Wanatatua changamoto, Wanakomalia kitu hadi kifanyike.

unafeli, unafeli mara kufeli, Ila akili yako inaendelea kuangalia namna nzuri zaidi ya kufanikisha sio kuacha unakimbilia kingine nacho kikifeli unaacha halafu unasema hakilipi.

Yaani unakua unakua unafanya vitu sababu ya pesa na sio kutatua changamoto za watu na kusaidia watu - Poor mentality.

Blah! Blah! Blah!

Tukija upande mwingine hiyo ni HASTY GENERALIZATION.

Hii hutokea pale ambapo mtu anahukumu watu wote kwa kutumia mifano dhaifu ambayo imefanyika na watu wachache tu.

Tukiangalia numbers, wengi wanaojibana wanafanikiwa ukilinganisha na wanaotumia pesa hovyo, ukiona mtu anajibana na hafanikiwi bhasi hafuati ushauri wa kitaamu kwenye uwekezaji alioufanya.

images (61).jpeg


Mkuu Brojust keep going.

Ongezea kitu hapo mkuu Monetary doctor
 
Back
Top Bottom