Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Mkuu kwanini umechukulia kuwa nyumba ndio kipimo cha kujitafakari?

Inabidi tuanze kubadili mitazamo yetu sasa. Hivi unajua kuna matajiri wengi sana na ni matajiri haswa ila wananing'inia kwenye magorofa tu ya msajili na nyumba za watu masaki na wana maisha bora mara 1000 yako?
Hao matajiri unaowaona wananing'inia kwenye maghorofa ya watu/msajili huko Masaki; wengi wana mijengo yao Mbweni, Mabwepande na maeneo mengine yaliyopangwa vizuri wanasubiri tu miji Ikue!
 
Hao matajiri unaowaona wananing'inia kwenye maghorofa ya watu/msajili huko Masaki; wengi wana mijengo yao Mbweni, Mabwepande na maeneo mengine yaliyopangwa vizuri wanasubiri tu miji Ikue!
habari ndiyo hiyo
 
Mwanaume akifikisha miaka 45 hadi 50 hapo kibongo bongo walio wengi ndo angalau huwa yuko vizur kimaisha na hii ni kutokana na changamoto za maisha tunazokutana nazo kwenye maisha katika kujipanga na kujiweka sawa kimaisha...

Ila kama hauna hata haka na uko na miaka 45 hadi 50 hapo inabidi kujitafakari upyaa ni wakati wa kuamka toka usingizini.....
Asikuambie mtu kuwa mwanaume sio jambo dogo na jepesi hata kidogo[emoji848][emoji848]
View attachment 2078457View attachment 2078458View attachment 2078459View attachment 2078455
Wanaume wa kitanzania ua dunia nzima?maana wale wahindi wanaomiliki mahoteli yenye gorofa mpaka kumi na zaidi kule Kariakoo na upanga wengine wana umri wa zaidi ya miaka 60 lakini wamepanga...
 
Wanaume wa kitanzania ua dunia nzima?maana wale wahindi wanaomiliki mahoteli yenye gorofa mpaka kumi na zaidi kule Kariakoo na upanga wengine wana umri wa zaidi ya miaka 60 lakini wamepanga...
hapa nazungumzia watz
 
Habarini wakuu, mukihitaji ramani nzuri msisite kututafuta kwa 0715477041, pia mwaweza tembelea link hii kujionea baadhi ya kazi zetu

 
Habarini wakuu, mukihitaji ramani nzuri msisite kututafuta kwa 0715477041, pia mwaweza tembelea link hii kujionea baadhi ya kazi zetu

 
Hao matajiri unaowaona wananing'inia kwenye maghorofa ya watu/msajili huko Masaki; wengi wana mijengo yao Mbweni, Mabwepande na maeneo mengine yaliyopangwa vizuri wanasubiri tu miji Ikue!
Huko walikoyajenga si wameyapangisha? Which means hawakujenga kwa ajili ya kuishi kama tufanyavyo wafanyakazi wengi, wamejenga kwa ajli ya ku generate pesa through hayo majengo
 
Huko walikoyajenga si wameyapangisha? Which means hawakujenga kwa ajili ya kuishi kama tufanyavyo wafanyakazi wengi, wamejenga kwa ajli ya ku generate pesa through hayo majengo
Huko nilikokutajia kote biashara ya kupangisha wala haijafika.

Huko ni mtu anaweka mjengo anaishi mwenyewe...

Au au anaweka mwangalizi tu, anavuta muda mji usogee!

Au 'kauficha' mchepuko! [emoji10][emoji23]

Kama una fursa ya kujenga sasa, usiichezee...
Kuna mambo ya nyumaaazzz geukaaa!!!
Utadhalilika!
 
Huko nilikokutajia kote biashara ya kupangisha wala haijafika.

Huko ni mtu anaweka mjengo anaishi mwenyewe...

Au au anaweka mwangalizi tu, anavuta muda mji usogee!

Au 'kauficha' mchepuko! [emoji10][emoji23]

Kama una fursa ya kujenga sasa, usiichezee...
Kuna mambo ya nyumaaazzz geukaaa!!!
Utadhalilika!
Mkuu hapa tunawazungumzia WAFANYABIASHARA wakubwa, sio sisi wa hapa na pale, yaani middle class na lower class. MATAJIRI hawajengi kaka, tunao jenga ni sisi wafanyakazi na wafanyabiashara wa kawaida.
 
Back
Top Bottom