mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa kama nataka nikope ili nilipe deni la maji 😀. Haya mambo haya ni hatariHuku kwetu Rwanda hata kama una deni la maji unawekwa CRB na mkopo huezi kupata sehemu yotote kwa hio siku hizi ni kulipa madeni yako yote hata ya songesha kwa kua iko regulatated na Central bank
Hiiii🙆🙆Huyu atakuwa na matatizo yake binafsi
ukirudi utakuta line imefutwa (inactive number ) unless iko huduma za kibankMie nilisafiri kwenda nje ya nchi na mkopo wa kamilisha elfu42 na nina miezi mitatu sijarudi.
Nikirudi sijui itakuwa je.
Habari. Mrejesho wa suala lako ukoje. Je umechukua hatua gani mpka Sasa. Vip umefanikiwa ku clear Hy high risk. Na Mimi yamenikuta nimeenda kukopa bank naaambiwa nadaiwa. Nahitaji kujua nifanyajeSongesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Pole, unakopa kama mtumishi au mjasiriamali?Habari. Mrejesho wa suala lako ukoje. Je umechukua hatua gani mpka Sasa. Vip umefanikiwa ku clear Hy high risk. Na Mimi yamenikuta nimeenda kukopa bank naaambiwa nadaiwa. Nahitaji kujua nifanyaje
Nakopa kama mtumishi kupitia mfumo wa EssPole, unakopa kama mtumishi au mjasiriamali?
Last week kuna jamaa yangu kavuta mkopo kupitia ESS na ana vimeo karibu kampuni 2 za simu. Kwa mtumishi hilo nadhani haliwezekani kwani dhamana yake iko wazi kabisa ni mshahara wake. Na mfumo ukiingia unakuonyesha kabisa kuwa uko eligible kukopa, na kiasi hadi cha makato kwa mwezi. Labda inategemea benki na benkiNakopa kama mtumishi kupitia mfumo wa Ess
Ni kero kubwa sana hii,hususa Bank ya NMB naona ndo wamelishikilia kidete yaani ukidaiwa hata elfu 10 Songesha wao hupati mkopo wa BankSongesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Mrejesho nilipata mkopo ,lakini baada ya kuandika barua kwenda Kwa Bank manager nikiambatanisha na screen short ya SONGESHA inayonesha Sina Mkopo ,hapo ndio nilipopata mkopo rafikiHabari. Mrejesho wa suala lako ukoje. Je umechukua hatua gani mpka Sasa. Vip umefanikiwa ku clear Hy high risk. Na Mimi yamenikuta nimeenda kukopa bank naaambiwa nadaiwa. Nahitaji kujua nifanyaje
Bank gani??Mrejesho nilipata mkopo ,lakini baada ya kuandika barua kwenda Kwa Bank manager nikiambatanisha na screen short ya SONGESHA inayonesha Sina Mkopo ,hapo ndio nilipopata mkopo rafiki
Bank gani mkuu.Last week kuna jamaa yangu kavuta mkopo kupitia ESS na ana vimeo karibu kampuni 2 za simu. Kwa mtumishi hilo nadhani haliwezekani kwani dhamana yake iko wazi kabisa ni mshahara wake. Na mfumo ukiingia unakuonyesha kabisa kuwa uko eligible kukopa, na kiasi hadi cha makato kwa mwezi. Labda inategemea benki na benki