Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Okay, Asante Kwa maarifaSongesha ni huduma ya FINCA. Ukikopa songesha ni kama umekopa FINCA. Voda ni wakala tu wa FINCA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, Asante Kwa maarifaSongesha ni huduma ya FINCA. Ukikopa songesha ni kama umekopa FINCA. Voda ni wakala tu wa FINCA
Kwani hao wanaogomea kulipa songesha hawanaga miamala??Huenda watakaokuwa wanakopeshwa hizo 4M lazima wawe wanaofanya miamala mikubwa 😅
hahhahah mkopo wa tigo bustisha na ni wezeshe ni mikopo ya AZANIA Bank sasa jidanganye ni kama ndoige hukwepi hio ngumi inakata konaMkopo wa songesha na bank wapi na wapi? Au mimi sijaelewa?
Mpaka waje kujua kwamba wanajichelewesha kwenye jungu la pilau,watakuwa wamechelewa sana.hahhahah mkopo wa tigo bustisha na ni wezeshe ni mikopo ya AZANIA Bank sasa jidanganye ni kama ndoige hukwepi hio ngumi inakata kona
ulimwengu wa kidijitali ni mbinde sana kuwakimbia mabepariMpaka waje kujua kwamba wanajichelewesha kwenye jungu la pilau,watakuwa wamechelewa sana.
Mie nilisafiri kwenda nje ya nchi na mkopo wa kamilisha elfu42 na nina miezi mitatu sijarudi.Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Kwahio Mwigulu alivyopiga mkwara kumbe hakua na taarifa Sahihi? DuhMikopo yote inayopitia kwenye simu kama Songesha nyuma yake kuna bank. Kwa mfano. Songeshahutolewa na TCB. Na hii mikopo yote husajiliwa kwenye credit bureau.
Credit bureau ni Database ya wakopoja. Kadri unavyokopa na kulipa hii database ina kupa rates ambazo wakopeshaji wanaweza kuzitumia kufanya assesment kama unakopesheka au la.
Cha msingi siyo kuacha kukopa, ila ni kukopa na kulipa kwa wakati.
Point niliyoinoti ni kuwa Watanzania tunapenda ubabaifu 🙌Kwani hao wanaogomea kulipa songesha hawanaga miamala??
Watanzania ubabaifu tumezoea tu uko damuni😂🤣
Inaombwa kwa njia gani?? Msaada plzTujenge tabia ya kutuma maombi ya kuomba taarifa zetu kutoka Credit Reference Info kila mwaka mara moja ni bure
Ngozi nyeusi shida sanaUjanja ujanja kama huu ndio unasababisha watanzania wengi ngozi nyeusi kubwa wagumu kupewa mikopo wahindi,waarabu na wapemba hukopeshana Bila maandishi na hulipana Bila shida yeyote
Mhindi akienda kukopa benki ndani ya Siku moja tu mkopo anapewa sababu walipaji wazuri mswahili ngozi nyeusi unampa mkopo Mfano Bila maandishi anaanza ujuaji Lete ushahidi kama ulinikopesha shahidi Yako nani Nenda mahakamani huko Mimi haujawahi nikopesha
Ukipewa mkopo Bila longolongo na unapolipa lipa Bila longolongo usilete longolongo kwenye kulipa
Ndio maana mabenki uuweka Hata riba juu sana na usumbufu mwingi Kwa mkopaji mswahili ngozi nyeusi kutaka madhamana kibao na yenyewe Hadi benki ihangaike kuhakiki sababu aweza leta fake documents ni shida.
Wao wamekukopesha Bila kelele Bila longolongo kulipa hulipi unaleta longolongo ndio maana Sasa hivi wanalink na credit reference bureau wakopaji ambayo huleta longolongo kulipa wanazobwa kote kwenye benki yeyote asipate mkopo abakie na ujuaji wake huko mtaani au aende akakope kule Kwa watoa mikopo kausha damu Sio kwenye mabenki
ngozi nyeusi janjajanja sana[emoji1787]sio msomi sio ngumbaru ukizubaa kidogo anakupiga kitu kizito.Ngozi nyeusi shida sana
Fika ofisini kwao Tanzanite ParkIn
Inaombwa kwa njia gani?? Msaada plz
Kama mlipaji mzuri hakuna shida watakupa tu hata ukope benki na mitandao yote na benki zoteUongo mtakatifu,
Nina songesha hapa na nimepata mkopo nmb, na crdb,
Kwanza uelewe mikopo inakatiwa BIMA,
acha kudanganya watu
Kuna kitu kinawaitwa Centralised System unakifahamu?Mkopo wa songesha na bank wapi na wapi? Au mimi sijaelewa?
Waliozoea kudhulumu au kutolipa wakibanwa huona wameonewa.Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.