KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mikopo yote inayopitia kwenye simu kama Songesha nyuma yake kuna bank. Kwa mfano. Songeshahutolewa na TCB. Na hii mikopo yote husajiliwa kwenye credit bureau.

Credit bureau ni Database ya wakopoja. Kadri unavyokopa na kulipa hii database ina kupa rates ambazo wakopeshaji wanaweza kuzitumia kufanya assesment kama unakopesheka au la.

Cha msingi siyo kuacha kukopa, ila ni kukopa na kulipa kwa wakati.
How do I check my status huko Credit bureau ni Database
 
Ujanja ujanja kama huu ndio unasababisha watanzania wengi ngozi nyeusi kubwa wagumu kupewa mikopo wahindi,waarabu na wapemba hukopeshana Bila maandishi na hulipana Bila shida yeyote

Mhindi akienda kukopa benki ndani ya Siku moja tu mkopo anapewa sababu walipaji wazuri mswahili ngozi nyeusi unampa mkopo Mfano Bila maandishi anaanza ujuaji Lete ushahidi kama ulinikopesha shahidi Yako nani Nenda mahakamani huko Mimi haujawahi nikopesha

Ukipewa mkopo Bila longolongo na unapolipa lipa Bila longolongo usilete longolongo kwenye kulipa

Ndio maana mabenki uuweka Hata riba juu sana na usumbufu mwingi Kwa mkopaji mswahili ngozi nyeusi kutaka madhamana kibao na yenyewe Hadi benki ihangaike kuhakiki sababu aweza leta fake documents ni shida.

Wao wamekukopesha Bila kelele Bila longolongo kulipa hulipi unaleta longolongo ndio maana Sasa hivi wanalink na credit reference bureau wakopaji ambayo huleta longolongo kulipa wanazobwa kote kwenye benki yeyote asipate mkopo abakie na ujuaji wake huko mtaani au aende akakope kule Kwa watoa mikopo kausha damu Sio kwenye mabenki
Mikopo ya Tanzania imekaa kiuni huni ndio maana watu wanashindwa kulipa mikopo,riba z mikopo Tz zipo juu sana haziendani na hali ya uchumi wa Nchi.
 
Mnajaribu kutumia nguvu nyingi kuelezea kitu ambacho hakipo. Ukiwa blacklisted kwasababu ya mkopo haĺafu ukalipa na umewekewa hiyo status mnayosema, sio kwamba unakosa mkopo. Unachotaiwa kufanya ni kuchukua kitu kinaitwa "loan clearance statement" taasisi iliyokuwa inakudai ikitoa hiyo statement status ya high risk inaondolewa.

Mfumo huo umeanzishwa maalumu kuweza ku track madeni ya mtu kabla hajaingia kwenye mkopo mwingine, sio ku block mtu asiweze kukopa.

Ndiomaana nasema humu kuna wachangiaji wa mada hii ambao ni wafanyakazi wa hizi songesha and the like maana hamsemi uhalisia

Sent from my SM-E045F using JamiiForums mobile app
Wewe weka unavyoona. Watu tume deal na credit scores zaidi ya miaka 25, tunajua how it works. Tz ndio imeanza hivi karibuni baada ya bank kuumizwa sana. Kazi yake basically ndio hii tunayosema kuiweka bank aware na status ya mkopaji.
 
Naweza kubaliana na wewe kwenye hiyo document ya so called loan clearance statement lakini kufutika hizo alama za kupitiliza siku ya ulipaji wa mkopo kufutika kwake baada ya miaka sita na limeshakuwekea doa kwenye taasisi nyingine kukopa na kama watakukopesha basi kwa riba kubwa sana.
Miaka sita? Hii ngumu kutekelezeka labda ipo kwenye maandishi tu. Kumbuka benki bila wakopaji faida yake ni ngogo
 
CRDB ndo wameanza kuwanyima watu mikopo mkuu.
CRDB ni miaka karibu 2 sasa wana shida katika kutoa mikopo sio tu wa wafanyabishara hata ya Watumishi.watu wanakwenda wanakaa mwezi ndii wanapewa mikopo,ni kama CRDB imeanza kufulia.
Nenda NMB unapata mkopo siku hiyo hiyo.
CRDB ni bank ya kishamba sana,sijui kwa nini unakuta mtu smart anatumia CRDB-bank ya hivyo sana huduma mbovu sana.
 
Umenichekesha sana, kwamba hiyo computer imefanyaiwa programming na robot au binadamu? Kwamba 1000 unayodaiwa ndiyo izuie mtumishi wa umma mwenye uhakika wa dhamana ya serikali ndo benki ikose 15,000,000 ya faida.
Wewe mtumishi wa umma bank haiwezi kukuacha. A cash cow, kwako wana uhakika utalipa kwasababu mdhamini wako ni serikali hata usipolipa wanasubiria pension yako. Wanakupa 15m unalipa 45m nani ataacha deal kama hio na serikali imekuwekea dhamana.
 
Laini akipewa mtu mwingine huwezi kudaiwa?
Lain ikishakuwa na deni hatapewa mtu mpaka ijulikane mmiliki aliyesajili mwanzo akakopa bila kulipa alikoenda.

Ni kusema hata ipite miaka kumi haitabadilishwa usajili ila siku mmiliki aliyekopa kwa kujua au kutokujua akijitokeza kwenye masuala ya mikopo kwenye taasisi nyengine atakutana na mkwamo mpaka alipe deni na riba yao.
 
Naweza kubaliana na wewe kwenye hiyo document ya so called loan clearance statement lakini kufutika hizo alama za kupitiliza siku ya ulipaji wa mkopo kufutika kwake baada ya miaka sita na limeshakuwekea doa kwenye taasisi nyingine kukopa na kama watakukopesha basi kwa riba kubwa sana.
Kaka hii business na hili ni soko hulia,hakuna mtu au taasisi ikaona una uwezo wa kulipa wasikupe mkopo watakuuliza mkopo a.b.c kwa nini hujalipa na majibu utawapa wakiridhika nayo watakupa pesa.
Bank zote biashara yao kuu ni mikopo,wasipo uza hiyo mikopo watajiendeshaje?? Achana na story za vijiwe.
 
Wewe weka unavyoona. Watu tume deal na credit scores zaidi ya miaka 25, tunajua how it works. Tz ndio imeanza hivi karibuni baada ya bank kuumizwa sana. Kazi yake basically ndio hii tunayosema kuiweka bank aware na status ya mkopaji.
Bank gani kubwa hapa Tz iliwahi kuumizwa na mikopo ikapelekewa kufungwa?? usije ukasema M-bank hii ilifungwa kwa sababu za kisiasa.
Kwa miaka karibu 10-15 hakuna bank imewahi fungwa sababu ya kufirisika kutokana na madeni,na hii inatokana na kuwa kwa Tanzania banks nyingi zinaoata supernormal profit kwa kuwa riba za mikopo zipo juu sana.

Kapitie financial statements za bank hata 4 kwa miaka 3 mfululuzo uangalie zinavyopata faida kubwa.achana na story za vijiweni.
 
Wewe nawe mwehu unapopata hivyo vishiringi vya mchongo unafikiri wote wa hovyo kama wewe, mkopo Kwa Mtumishi ndio unafanya aendele
mkopo unamkandamiza mtumishi angalia wote wanaopewa mikopo mara ya magari mara ya nyumba za kusihi ni ujinga mtupu na cha ajabu watumishi hawastuki..... kopa fanya biashara ikibuma pambana uanze tena sio unakopa unanunua gari na huna kitega uchumi cha ziada gari ikizingua inapaki na mkop bado unahitaju rejesho
 
Back
Top Bottom