KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mikopo yote inayopitia kwenye simu kama Songesha nyuma yake kuna bank. Kwa mfano. Songeshahutolewa na TCB. Na hii mikopo yote husajiliwa kwenye credit bureau.

Credit bureau ni Database ya wakopoja. Kadri unavyokopa na kulipa hii database ina kupa rates ambazo wakopeshaji wanaweza kuzitumia kufanya assesment kama unakopesheka au la.

Cha msingi siyo kuacha kukopa, ila ni kukopa na kulipa kwa wakati.
Sasa waweke hiyo bureau iwe wazi sio kutuvizia. Shida ya watanzania vitu bayana wataficha, vya kuficha watatangaza. Upuuzi over upuuzi.
 
How do I check my status huko Credit bureau ni Database
Huwezi binafsi wanaoruhusiwa kuingia huko ni taasisi za fedha zinazokopesha tu

Wewe kujua status Yako jiangalie tu mikopo uliyokopa je huwa unalipa na kwa wakati mliokubaliana kwenye mkataba?
 
Kaka hii business na hili ni soko hulia,hakuna mtu au taasisi ikaona una uwezo wa kulipa wasikupe mkopo watakuuliza mkopo a.b.c kwa nini hujalipa na majibu utawapa wakiridhika nayo watakupa pesa.
Bank zote biashara yao kuu ni mikopo,wasipo uza hiyo mikopo watajiendeshaje?? Achana na story za vijiwe.
Unachosema kama ujawahi kukutana nacho utasema uongo ila nakuambia ukweli mtupu.

Nilibisha kama wewe ila ukienda pale Victoria pale Credit info utajua. Nilikosa mkopo wa biashara zangu wa mamilioni ya pesa kisa laini nilimsajilia mdogo wangu kakopa elfu 20 SONGESHA akulipa miaka mitatu nikaelekezwa niende pale FINCA HQ karibu na hao Credit info, nililipa ila niliambiwa taarifa zangu zitafutika automatically baada ya miaka 6.

Mkopo wa SONGESHA umeandikwa WRITTEN OFF
 
Huwezi binafsi wanaoruhusiwa kuingia huko ni taasisi za fedha zinazokopesha tu

Wewe kujua status Yako jiangalie tu mikopo uliyokopa je huwa unalipa na kwa wakati mliokubaliana kwenye mkataba?
Anaweza kupata taarifa zake sio zaidi ya 1000
 
Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.

Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.

Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.

Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Zinazo
 
Unachosema kama ujawahi kukutana nacho utasema uongo ila nakuambia ukweli mtupu.

Nilibisha kama wewe ila ukienda pale Victoria pale Credit info utajua. Nilikosa mkopo wa biashara zangu wa mamilioni ya pesa kisa laini nilimsajilia mdogo wangu kakopa elfu 20 SONGESHA akulipa miaka mitatu nikaelekezwa niende pale FINCA HQ karibu na hao Credit info, nililipa ila niliambiwa taarifa zangu zitafutika automatically baada ya miaka 6.

Mkopo wa SONGESHA umeandikwa WRITTEN OFF
ukilipa ukachukua clearance form kutoka credit bureau ukaenda nayo bank bado watakataa kukupa mkopo
 
ukilipa ukachukua clearance form ukaenda nayo bank bado watakataa kukupa mkopo
Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.

SONGESHA inamilikiwa na FINCA

MPAWA inamilikiwa na BOA Bank

Hizi kampuni za simu kama watu wa kati tu
 
Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.

SONGESHA inamilikiwa na FINCA

MPAWA inamilikiwa na BOA Bank

Hizi kampuni za simu kama watu wa kati tu
ndio maana hata nmb mshiko fasta wameniblock wakat sijawai kiwacheleweshea inawezekana wameangalia iyo songesha maana nina miaka 3 sijawalipa 40000
 
Bank gani kubwa hapa Tz iliwahi kuumizwa na mikopo ikapelekewa kufungwa?? usije ukasema M-bank hii ilifungwa kwa sababu za kisiasa.
Kwa miaka karibu 10-15 hakuna bank imewahi fungwa sababu ya kufirisika kutokana na madeni,na hii inatokana na kuwa kwa Tanzania banks nyingi zinaoata supernormal profit kwa kuwa riba za mikopo zipo juu sana.

Kapitie financial statements za bank hata 4 kwa miaka 3 mfululuzo uangalie zinavyopata faida kubwa.achana na story za vijiweni.
Kwako wewe kuumizwa bank ni mpaka bank ifungwe? Financial statements zipi wakati bank kubwa ni mabingwa wa kupika vitabu? Inawezekana wanapata faida ila faida ingekuwa kubwa zaidi kama sio hizo NPL
 
Back
Top Bottom