KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Waliozoea kudhulumu au kutolipa wakibanwa huona wameonewa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ni kweli wengi wanakopa halafu wanatupa Lakini na kucheka Cheka kibwege kuwa nimewakomoa songesha nk alivyo mjinga anadhani deni liko kwenye line ya simu hajui kuwa deni liko benki na halifutiki linaendelea tu kuzaa riba kuongezeka Siku akipeleka maombi yake ya mkopo benki inakula kwake hapati

Halafu anaanza kukia Lia humu
 
Ni kweli wengi wanakopa halafu wanatupa Lakini na kucheka Cheka kibwege kuwa nimewakomoa songesha nk alivyo mjinga anadhani deni liko kwenye line ya simu hajui kuwa deni liko benki na halifutiki linaendelea tu kuzaa riba kuongezeka Siku akipeleka maombi yake ya mkopo benki inakula kwake hapati

Halafu anaanza kukia Lia humu
SONGESHA kuzuia watu kukopa Kwenye mabank ni ujinga watakoswa wateja hasa watumishi ambao Kwao kulipa siyo inshu
 
Kama si mwaminifu wa kurejesha mkopo wao lazima wakublack list.

Nimekaa na Airtel money vizuri kwa miaka kadhaa, Sasa wananiamini wanaweza kunikopesha hadi 1.6 m bila shida. Kaeni vizuri na wanaowakopesha kwa kuwa waaminifu na kulipa deni kwa wakati mliokubaliana.
Voda MPAWA wanakopesha mpaka 10M
 
Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.

SONGESHA inamilikiwa na FINCA

MPAWA inamilikiwa na BOA Bank

Hizi kampuni za simu kama watu wa kati tu
We Sasa too much unaleta utoto wa mawazo yako binafsi... Hebu tutolee ukolo hapa ... Ushaeleza mwanzo tumekuelewa Sasa Kila unaloulizwa unalijibu. Chumvi nyingi as if Sasa umekua Mtumishi wa Songesha... Hebu Kalipe hela yao bana...
 
Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.

Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.

Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.

Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Hii mikopo ya simu ni Kausha Damu tu, Riba kila siku inapanda ndio mkopo wa aina gani, ni bora ifutwe kabisa.
 
Yaani niende NMB leo naomba milioni 17 salaried loan wanigomee kisa nina mkopo songesha wa elfu 80😁😁.

Kama ni mfumo imara kabisa na ni lazima kuufanyia kazi basi,itakuwa inalazimika kulipishwa deni husika kupitia mkopo mpya(top up like),kuliko kugoma kabisa kutoa mkopo,hakuna benki imejaza mbulumundu itakubaliana na mfumo huo utakaosababisha kukosa wateja kijinga jinga tu.

Mfumo wa marejesho ya mikopo ya bank kwa mishahara sio wa hiyari,ukiishachukua hela unakatwa kwa lazima,hiyo high risk alart haina maana kabisa hapo kwa wazee wa hazina.
Kuna mimtu humu inatoa hoja za kupuuzwa, benki ni wajinga kiasi hicho??

Ok let's say ni wajinga, Ina maana hawana wasomi wa fedha hata wawili ambao wakaja na wazo labda huyu mtu anataka akope Milioni kumi, hiyo CRB inaonesha si mlipaji ni msumbufu (alikopa Songesha) lakini kwa benki ana dhamana ya mshahara, Songesha hakuweka dhamana, kwamba benki ishindwe kumfatilia huyo mteja huko Songesha alikopa shilingi ngapi (bila dhamana) na huku benki anataka Milioni kumi, so tumpe Milioni 6 tumuone na hapo ili apewe basi akubali sharti la kukatwa madeni mengine anayodaiwa Inayobaki ndio apewe. SO INAMAANA BENKI ZOOTE HAZIONI HII OPTION ZIFATE MAWAZO YA KI'PRIMITIVE YA BAADHI YA WATU HUMU.

Hebu tuwe Great Thinkers Bana!!
 
Kuna mimtu humu inatoa hoja za kupuuzwa, benki ni wajinga kiasi hicho??

Ok let's say ni wajinga, Ina maana hawana wasomi wa fedha hata wawili ambao wakaja na wazo labda huyu mtu anataka akope Milioni kumi, hiyo CRB inaonesha si mlipaji ni msumbufu (alikopa Songesha) lakini kwa benki ana dhamana ya mshahara, Songesha hakuweka dhamana, kwamba benki ishindwe kumfatilia huyo mteja huko Songesha alikopa shilingi ngapi (bila dhamana) na huku benki anataka Milioni kumi, so tumpe Milioni 6 tumuone na hapo ili apewe basi akubali sharti la kukatwa madeni mengine anayodaiwa Inayobaki ndio apewe. SO INAMAANA BENKI ZOOTE HAZIONI HII OPTION ZIFATE MAWAZO YA KI'PRIMITIVE YA BAADHI YA WATU HUMU.

Hebu tuwe Great Thinkers Bana!!
Benk zinategemea faida za mikopo,haziwezi ruhusu vikwazo duni namna hiyo wakose faida yao ya kuwaweka mjini.
 
Tutawapeleka mahakamani, haiwezekani nikope Voda halafu benki ndio wawe wadai wangu!

Mtatulipa tuu na fidiaa, na hela zenu HATUWAPI majizi makubwa nyie.

Kwanza mnatutapeli sana bando zetu.
 
du nimevuta mkeka wangu wa madeni credit bureau aisee ni shida unaonyesha hadi laini nilizowasajilia watu kumbe wamekopa kwa niaba yangu aisee nimekuta hadi jome tanzania finance limited hawa sijui wanamkopo gani wa simu au ndio wale branch sijui tala
 
We Sasa too much unaleta utoto wa mawazo yako binafsi... Hebu tutolee ukolo hapa ... Ushaeleza mwanzo tumekuelewa Sasa Kila unaloulizwa unalijibu. Chumvi nyingi as if Sasa umekua Mtumishi wa Songesha... Hebu Kalipe hela yao bana...
Duh! Haya
 
du nimevuta mkeka wangu wa madeni credit bureau aisee ni shida unaonyesha hadi laini nilizowasajilia watu kumbe wamekopa kwa niaba yangu aisee nimekuta hadi jome tanzania finance limited hawa sijui wanamkopo gani wa simu au ndio wale branch sijui tala
Kama ni mtumishi hukopesheki aisee 😃
 
Wangetumia hizo njia na kuwakamata wale wa "Ile hela tuma kwenye hii no."ingependeza Sana.
 
Songesha Iko Chini ya Tanzania Commercial Bank ni kitengo Cha Cha benki ukikopa ni sawa na umekopa benki record zako linaonyesha ulikopa benki ya Tanzania Commercial bank na hulipi
Nivushe ipo chini ya Letshego.
 
Huyu atakuwa na matatizo yake binafsi
Mwenyewe sikuona hiyo connectivity kati ya Deni la Songesha na hilo la Benki 🙌

Huenda jamaa yupo Jikoni kwenye hayo Mabenki, hivyo anajua mengi
 
Back
Top Bottom