Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni jambo zuri Kwa Ulinzi wa mitaji ya Mabenki na Taasisi za kifedhaKama hili halipo basi ni hatari sana na pengine wamechelewa tu kunganisha. Kwenye mikopo, inatakiwa system iliyokuwa intergrated, yaani ukitaka kukopa institution A, wawe na uwezo wa kuona kama umeshakopa au una mkopo sehemu nyingine zote zinazokopesha. Bila kuwa na uwezekano wa namna hii, mtu mmoja anaweza kukopa sehemu nyingi na akakimbia na fedha. Ndiyo maana nchi zilizoendelea kuna kitu kinaitwa credit rating, yaani ni namna ya kuonyesha mkopaji ni mtu wa aina gani, ana mikopo mingi? Ana tabia ya kulipa madeni?
Kwenye upande wa Mikopo ya Benki, tayari mifuko inasomana
Nadhani tunapoelekea ni Pazuri zaidi