KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
SONGESHA na MIKOPO mingine ya simu imepelekea watumishi KUNYIMWA mikopo WAnapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk,risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.

Hilo limetokea Leo Mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia Kwenye mfumo wa ess utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected,nikaenda voda nikawalipa SONGESHA yote lakini Bado mfumo ulisoma high risk.

Nawashauri wale ambao hamjaingia Kwenye hili jini SONGESHA msijalibu mbeleni litawaleta shida

Mamlaka zinasimamia Mikopo hili LA simu hasa Mikopo ya nivushe, SONGESHA, Gold, bustisha ziwe na term of condition, Yani taratibu za mwanachama kukubali
Halafu wanazinguwa kama m pawa unaweza kukopa miezi minne na unalipa kwa wakati lakini hawaongezi kiwango cha mkopo.
 
Nina hakika mabenki yanayo tegemea faida kwa kukopesha watumishi yatapoteza wateja wengi mnoo. Maana kiukweli asilimia kubwa wana vimikopo walivyo default.

Jana nilikuwa benk ya CRDB,wanasema maombi ya wateja wapatao 10 kwa ajili ya mikopo yamekataliwa na system kwa sababu ya udaiwa sugu. Yule loan officer alikuwa anasikitishwa na hyo Hali na akawa anasema wanafanya communication na makao makuu ili waachie tu hyo mikopo.
 
Hii ni fursa nzuri kwa vi microfinance pia mitaani. Maana kiukweli kwa huu mfumo watumishi wengi watakosa sifa ya kukopesheka benki..
 
Nawashauri wale ambao hamjaingia Kwenye hili jini SONGESHA msijalibu mbeleni litawaleta shida
Kama si mwaminifu wa kurejesha mkopo wao lazima wakublack list.

Nimekaa na Airtel money vizuri kwa miaka kadhaa, Sasa wananiamini wanaweza kunikopesha hadi 1.6 m bila shida. Kaeni vizuri na wanaowakopesha kwa kuwa waaminifu na kulipa deni kwa wakati mliokubaliana.
 
Timiza ya Airtel wamenitumia ujumbe kuwa watanishtaki Kila mahali

Timiza ya Airtel wamenileta sms ya vitisho baada ya kuchelewa kurudisha 4500 kwa siku nne na kutishia kunishitaki kwenye mamlaka zote za mkopo.
Hawa wahuni ni sawa na wahuni wa on line mikopo kausha damu.
Mkuu tafakari vizuri, hapo muhuni ni wewe ambaye umeshindwa kulipa kwa wakati. Mkopo sio zawadi, lipa kwa wakati ujiwekee heshima
 
Nina hakika mabenki yanayo tegemea faida kwa kukopesha watumishi yatapoteza wateja wengi mnoo. Maana kiukweli asilimia kubwa wana vimikopo walivyo default.

Jana nilikuwa benk ya CRDB,wanasema maombi ya wateja wapatao 10 kwa ajili ya mikopo yamekataliwa na system kwa sababu ya udaiwa sugu. Yule loan officer alikuwa anasikitishwa na hyo Hali na akawa anasema wanafanya communication na makao makuu ili waachie tu hyo mikopo.
Hiyo ndio Hali halisi
 
Back
Top Bottom