KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ni jambo zuri Kwa Ulinzi wa mitaji ya Mabenki na Taasisi za kifedha

Kwenye upande wa Mikopo ya Benki, tayari mifuko inasomana

Nadhani tunapoelekea ni Pazuri zaidi
 
Aaagh wapi kuna mahali walisema hivyo wakati wanakukopesha au hujui kuna haki ya mkopiaji pia?
Songesha ni brand name ya taasisi ya tanzu ya fedha iliyosajiliwa Benki kuu yaani Microfinance

Wamesajiliwa Benki kuu Hao .Ukikopa taarifa zako zinaenda kwenye Credit bureau ya nchi inayohifadhi record za wakopaji

Wewe unapokopa unakopa ujue unakopa kwenye taasisi ya kifedha iliyosajiliwa Benki kuu kama ulikuwa hujui.Hawakopeshi kienyeji

Wewe ulidhani songesha ni wahuni wa mitaani unaweza kuwakopa na kujifanya mjanya wa mjini na kutokomea mitini na pesa yao
 
Mwigulu Nchemba alishasema hatambui kampuni za simu kukopesha wateja.. 😁
Na kampuni za simu hazikopeshi fedha Bali Kuna kampuni za kukopesha fedha zinazotumia mitandao ya simu

Kampuni za Simu zinakopesha Salio la vocha tu
 
Iko hivi mikopo ya mitamdao ya simu inatolewa kutoka benki fulani.

Tigo- CRDB (kama sikakosea)
Airtel -(baclays zamani sijajua kwa sasa kama wako na ABSA)

Voda -FINCA microfinance/TCB
 
Ndio,ukiwa na mkopo ukapitisha siku Moja unapelekwa Kwenye mamlaka ya wadaiwa sugu unakoswa sifa za kukopa bank
Hahahaha..............hatari πŸ˜…

Kuna watu Wana mtindo wa kukopa na kuvunja laini zao za simu

Unakuta mtu Kila baada ya wiki Moja analaini nyingine ya Simu πŸ™Œ
 
Hahahaha..............hatari πŸ˜…

Kuna watu Wana mtindo wa kukopa na kuvunja laini zao za simu

Unakuta mtu Kila baada ya wiki Moja analaini nyingine ya Simu πŸ™Œ
Record hazipitei Sababu alisajili Kwa Namba ya NIDA deni litabako na kukukua siku akienda Benki hakopesheki na siku wakimuibukia Waweza Nadi Mali zake kwenye mnada Sababu deni linazidi kukukua na riba
 
Naona watuwa wa Finca mmejikusanya kuja tutisha raia humu. Raia washavunja laini.
Kifupi benki yeyote hutakopesheka si ulisajili laini Kwa kitambulisho cha taifa .Unadhani rekodi zako zitapotea hata ukienda kukopa popote watakudai kitambulisho Cha taifa wakiingizia tu huyu hapa wanakuona tapeli wa kukopa alishakopa kabla akiingia mitini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…