Kwani mkuu pesa kuna mtu hana kabisa, sema it depends on expenses sasa ishi kadiri ya kipato chako. Wengi wanao jishughulisha na kazi either waajiriwa au waliojiajiri kwa biashara ndogo wengi 80% wana earning not less than 250,000 per month. Do your simple maths utashindwa kuongeza kipato au kujikwamua tena in 6 months if you're earning 250K kwa mwezi lets say na uko pekee yako huwezi shindwa kitu ukiamua lakini tofauti na mwenye mshahara wa laki kwa mwezi.Naona uko ndotoni...
Yote hayo yatakuwepo ukiwa na hela [emoji3][emoji3]
Sina ndugu cha kukwambiaNiambie mrembo
Aliumbwa Adamu na Hawa sio na huyu nadhani umeelewaWewe si unaye jamani? Hutosheki? Tuachie kwa wenzio na weye[emoji28]
Singidani sioMimi mwanamke wangu Ana tabia zote hizo ulizoandika, hahahaha aise ni fully burudani wakuu.
Mtoa mada waeleze vijana ukipata girl Kama huyo aise utaenjoy life Sana. Uzuri Zaid kanizalia ka girl kazuri Kama yeye ..[emoji1][emoji1][emoji1] next week atatua hapa Hougang, Singapore kula maisha na baba la baba hahaha
#Singapore[emoji630]
Kwasie tuliokomaa kiakili huwa tunamaanisha tusemacho! Wavulana ndio hubadilika badilika tuMen are totally different. Huwaga mnasema hivi lakini u act differently after sometime.
Ha ha ha wacha ukoraaa... bakishia wenzako. Wacha ubabiloni weweAliumbwa Adamu na Hawa sio na huyu nadhani umeelewa
Ula kweli. Hapa kwa wavulana i do agree. Yaan hawajuagi wanataka nini. U dedicate ur life to them lakini bado watahangaika kukutafutia makosa kama refarii kwenye match. Mukishapataga sehem zingine za kukojoleaga huwa ni tatizo sanaKwasie tuliokomaa kiakili huwa tunamaanisha tusemacho! Wavulana ndio hubadilika badilika tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiepushe na tamthilia za Kikorea, ila kama umri wako bado na upo shule endelea kidogo…. ndoto za kutisha hizo.
Usiku utapokwisha.
Mapenzi ya kwenye tamthilia hayo. Bahati mbaya huwa hayana uarithia zaidi ya kudanganywa tuExtrovert Hawa kina ebitoke mkuu tunawaita kuku wa kienyeji hawa wana kiharufu cha kienyeji hadi kwenye papuchi.
Demu naye mtaka ni yule ambae hanikeri asiwe wa kununa nuna na kukuza vitu,
nataka yule naspend naye home ile kuwatch TV yaani ananipa vibe mara kavaa shati langu mara ananiziba macho kiutani utani mara ananikwapua remote, mara anazima taa ghafla, mara anikwapue sahani yaani I really like mwanamke wa hivi aje hata PM....😋
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikupe ushauri kutoka na hili ulilioandika.
1. Punguza au acha vitu vifuatavyo
Kuangalia movie za kikorea
Kupiga PUNYETO.
Baada ya hapo tafuta kazi ya kufanya utanishukuru badae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1]Hahahah dem ambaye anaziona dagaa kama bangi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yan ndo Mana me sikuhiz sihangaiki na hiv viumbe Mana Kama biblia tu imeshindwa kuwadifine sisi Ni kina Nani mpaka tuweze....? [emoji1751][emoji1751]Ula kweli. Hapa kwa wavulana i do agree. Yaan hawajuagi wanataka nini. U dedicate ur life to them lakini bado watahangaika kukutafutia makosa kama refarii kwenye match. Mukishapataga sehem zingine za kukojoleaga huwa ni tatizo sana
Haahh! Kubalance mambo ndio Kila kitu.Nmependa[emoji4][emoji16] Kaka mi nataka mwenza wangu awe na sifa zote yaani awe fine lady mkuu both wife material na awe slay when it comes to certain vibes.
Aminaaa....Yupo mtu ana maisha unique huwezi amini yaani yeye siyo mshika mawili. There's smart ones you can find them out there...