Ungejua Familia yako naweza ihudumia hata miaka kadhaa usingeongea ila najaribu kukuonyesha reality ambayo vijana wengi wa Sasa Wana ignore thus wengi wao wanapatwa na stress na msongo wa mawazo unao sababisha mgonjwa ya akili na hata mawazo ya kujiua simply kwasababu they don't want to make best use of their realityMkuu tafuta pesa upate chaguo lako π π π π π πππ
Nakushauri achana na tamthilia za kifilipino na kihindi mkuu acha kabisaExtrovert Hawa kina ebitoke mkuu tunawaita kuku wa kienyeji hawa wana kiharufu cha kienyeji hadi kwenye papuchi.
Demu naye mtaka ni yule ambae hanikeri asiwe wa kununa nuna na kukuza vitu,
nataka yule naspend naye home ile kuwatch TV yaani ananipa vibe mara kavaa shati langu mara ananiziba macho kiutani utani mara ananikwapua remote, mara anazima taa ghafla, mara anikwapue sahani yaani I really like mwanamke wa hivi aje hata PM....[emoji39]
Khaa! Hizo sasa fujo mkuu [emoji28][emoji28]Extrovert Hawa kina ebitoke mkuu tunawaita kuku wa kienyeji hawa wana kiharufu cha kienyeji hadi kwenye papuchi.
Demu naye mtaka ni yule ambae hanikeri asiwe wa kununa nuna na kukuza vitu,
nataka yule naspend naye home ile kuwatch TV yaani ananipa vibe mara kavaa shati langu mara ananiziba macho kiutani utani mara ananikwapua remote, mara anazima taa ghafla, mara anikwapue sahani yaani I really like mwanamke wa hivi aje hata PM....[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] apambane na ebitoke yakeUtachelewa mkuu[emoji28][emoji28][emoji28] beba ebitoke yako moja ukajisevie for lifetime
Mkuu, we unawataka ma drama queen..,wenye ma unyamwezi nn ,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu wale kuwagharamia tuu ..huwez ...achilia mbali kuwafanya wa settle in a single r/ship.Extrovert Hawa kina ebitoke mkuu tunawaita kuku wa kienyeji hawa wana kiharufu cha kienyeji hadi kwenye papuchi.
Demu naye mtaka ni yule ambae hanikeri asiwe wa kununa nuna na kukuza vitu,
nataka yule naspend naye home ile kuwatch TV yaani ananipa vibe mara kavaa shati langu mara ananiziba macho kiutani utani mara ananikwapua remote, mara anazima taa ghafla, mara anikwapue sahani yaani I really like mwanamke wa hivi aje hata PM....[emoji39]
Unasemea ulimbo tenaPisi kali yoyote lazima ipoe kwangu mkuu, mi nawaambiaga watu wapo mademu wanagombea men mmoja, tena pisi kali kinoma ila huyo men unaeza kuta hana cha maana anachomiliki zaidi ya car kama crown athlete au mark X
Mkuu kwenye ule uzi nilisubiri muongozo wako wa Singapore hadi leo kimya..!!Mimi mwanamke wangu Ana tabia zote hizo ulizoandika, hahahaha aise ni fully burudani wakuu.
Mtoa mada waeleze vijana ukipata girl Kama huyo aise utaenjoy life Sana. Uzuri Zaid kanizalia ka girl kazuri Kama yeye ..[emoji1][emoji1][emoji1] next week atatua hapa Hougang, Singapore kula maisha na baba la baba hahaha
#Singapore[emoji630]
Kuendana ni muhimu couple should match. hawa waswahili pasua kichwa.Kupata mpenzi mnaendana ni mtihani kuzidi wa UE. Watu mnatulaumu kuwa tunapenda pesa ila sio pesa tu ndio pesa napenda coz najua kuzitafuta ila when it comes to mpenzi inabidi muendane kidogo jamani.
Yaan unakuta mwingine yupo yupo tu kha.
God have mercy on us