Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Broo mshana jr tuwasiliane aiseee nauza meli mbovu.
Mkuu hii kamba na vumbi ni kamba za Nini na vumbi la nin nijue400 kwa lita nahitaji kama lita laki 2 au tatu unayo?
Tairi kubwa tani 80,000 lakini inaweza kupanda ama kushuka, tairi ndogo 120,000 nayo inaweza kupanda na kushuka
Kamba na vumbi 100,000
Samahani mkuu mshana kwenye upande wa tyre je ni aina zote za tairi ata za pikipik zilizoisha uzito tuh ufikie Tani 1 ndyo hiyo 120k ama Kuna aina tuh za used tyre ndyo zinahitajika?Mabaki ya mipira ya ndani
Vumbi ni kwa wale wanao retread tyres
Kuna vile vipande pia kwa wanaotengeneza ndala za kimasai kwa kutumia mipira
PoaZile huwa zinauzwa kwa mnada! Labda ukikatibia nikustue
Sawa haina shidaZote zinafaa kubwa na ndogo
Mkuu najua hii elimu haikuhusu kabisa mtu kama ww ambaye unakula kwa kubonyeza tu keyboard [emoji335] [emoji28][emoji28][emoji28]a.k.a KItaaOLOJIA by FidQ
Vp bado unahtaji?400 kwa lita nahitaji kama lita laki 2 au tatu unayo?
Tairi kubwa tani 80,000 lakini inaweza kupanda ama kushuka, tairi ndogo 120,000 nayo inaweza kupanda na kushuka
Kamba na vumbi 100,000
[emoji1][emoji1][emoji1]Ahsante Sana mchawi wa JF
Hii oil chafu inakwenda kuwa material gani?Yeah una mzigo?