Ukiwa na mtaji mdogo ufanyeje ili upate faida?

400 kwa lita nahitaji kama lita laki 2 au tatu unayo?
Tairi kubwa tani 80,000 lakini inaweza kupanda ama kushuka, tairi ndogo 120,000 nayo inaweza kupanda na kushuka
Kamba na vumbi 100,000
Mkuuu...Naomba ufafanuzi kwenye Kamba hapo na Vumbi?
 
Anza na biashara ndogo, mf. kuuza uji, genge, na uwe na nidhamu ya pesa. Ukiuza 20000 kwa siku, usiseme umepata 20000 ila taja faida iliyopatikana, kama faida ni 5000 sema leo nimepata 5000 na sio 20000. Cheza na hiyo faida kwa nidhamu na mwisho utatoboa.
 
Kwa ufupi, Mungu kila kiumbe chake amekipa mtaji wa kitu fulani akifanyie kazi ili kuzalisha apate faida. Kitu iko ni talanta au kipawa kinachotarajiwa kimpe mafanikio mtu hatua kwa hatua, ingawa mwanzo wake ni mdogo, lakini wake utakuwa mkubwa.[emoji419][emoji375]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…