Ukiwa na pesa machaguo yanaongezeka bila hekima utapotezwa uelekeo

Ukiwa na pesa machaguo yanaongezeka bila hekima utapotezwa uelekeo

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
UKIWA NA PESA MACHAGUO YANAONGEZEKA BILA HEKIMA UTAPOTEZWA UELEKEO

UKIPATA PESA MACHAGUO YANAONGEZEKA HII NDIO SABABU YA KESI NYINGI ZA KUSEMA KABADILIKA BAADA YA KUPATA PESA.

Wengi wanashauri ni vizuri kutafuta mwenzi kabla hujapata pesa ila mimi naona huu ushauri ukiungia kichwa kichwa utajikuta kwenye matatizo mengi la sivyo uwe na akili kubwa katika kuufanyia kazi.


Mwanamke akiwa hajapata uelekeo ni rahisi kumkubalia yoyote kwa mfano akiwa yupo mtaani hana kazi ila ana vyeti anaweza kukubalia yoyote kimahusiano ila amini na kwambia wengi wao wakijapata baadaye ndio wataanza kuona machaguo mengi na wewe uliyechaguliwa kabla utaonekana uliingia kwenye mfumo bahati mbaya


Vivyo hivyo hata kwa wanaume wengi wakiwa hawana pesa hupunguza vigezo na kuchagua yule ambaye hana gharama na anayweza kumvumilia ila akipata tu pesa anajiona anaweza kumtongoza yoyote na hapo ndipo taratibu huanza kuona kama alikosea kuchagua.


ANGALIZO: Kama hujajipata ukifanya chaguo hakikisha unachagua kwa ubora wako na sio kwa sababu hujajipata ili hata baadaye ukijipata usianze kuona ulikosea.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
 
Usioe mpaka pale utakapo kuwa na hela mwanawane.
Ni kweli wanawake wakiwa hawana hela ata sie bodaboda wanatuona mali kwa vijisenti vyetu.
 
uwe na FEDHA, usiwe nazo, hali ni ile ile tu. karne hii kupata mwenza wa MAI$HA ni KAZI ngumu kuliko kumbusu MAMBA shavuni.
kama hauna MAI$$HA huwezi kupata mwenza BORA wa mai$$ha.
 
naona kama kataa ndoa inaenda kunyakua point 3 kwenye huu uzi,mpaka sasa nachanganyikiwa nikae upande gani
 
Maana yake mwenye KFC, Colonel Sanders alitakiwa asubiri hadi miaka 56 ndio aoe.
Haya mambo hayana syllabus, ni kama karata, hujui karata gani utalamba
Changa vizuri

Usioe mpaka pale utakapo kuwa na hela mwanawane.
Ni kweli wanawake wakiwa hawana hela ata sie bodaboda wanatuona mali kwa vijisenti vyetu.
 
Maana yake mwenye KFC, Colonel Sanders alitakiwa asubiri hadi miaka 56 ndio aoe.
Haya mambo hayana syllabus, ni kama karata, hujui karata gani utalamba
Changa vizuri
Kwani wee kuna la aja u ga i huko kwenye ndoa mpaka uwe na papara?
Mzeya ata mambo yakiwa sawa una miaka mia wee oa tuu...kumbuka wee mwanaume kupata totoz utalata tuu.

Mfano mie mwenyewe hapa navihela vyangu ndio maana wananikubalia niwagegede japo najua kabisa mie kutomber siwezi nawachafua tuu na pia nina kibamia.
Bro use hiyo bahati ya kuzaliwa mwanaume to ur advantage...mbona wao wanawake wanatumia hiyo advantage yao
 
UKIWA NA PESA MACHAGUO YANAONGEZEKA BILA HEKIMA UTAPOTEZWA UELEKEO

UKIPATA PESA MACHAGUO YANAONGEZEKA HII NDIO SABABU YA KESI NYINGI ZA KUSEMA KABADILIKA BAADA YA KUPATA PESA.

Wengi wanashauri ni vizuri kutafuta mwenzi kabla hujapata pesa ila mimi naona huu ushauri ukiungia kichwa kichwa utajikuta kwenye matatizo mengi la sivyo uwe na akili kubwa katika kuufanyia kazi.


Mwanamke akiwa hajapata uelekeo ni rahisi kumkubalia yoyote kwa mfano akiwa yupo mtaani hana kazi ila ana vyeti anaweza kukubalia yoyote kimahusiano ila amini na kwambia wengi wao wakijapata baadaye ndio wataanza kuona machaguo mengi na wewe uliyechaguliwa kabla utaonekana uliingia kwenye mfumo bahati mbaya


Vivyo hivyo hata kwa wanaume wengi wakiwa hawana pesa hupunguza vigezo na kuchagua yule ambaye hana gharama na anayweza kumvumilia ila akipata tu pesa anajiona anaweza kumtongoza yoyote na hapo ndipo taratibu huanza kuona kama alikosea kuchagua.


ANGALIZO: Kama hujajipata ukifanya chaguo hakikisha unachagua kwa ubora wako na sio kwa sababu hujajipata ili hata baadaye ukijipata usianze kuona ulikosea.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
You nailed it. Nyongeza yoyote hapa itachafua uzi
 
Back
Top Bottom