Ukiwa na Uelewa na Ufahamu mpana na wa kutosha wa masuala mbalimbali, ukinyimwa, kukataliwa au kusubirishwa ulichoomba hutojiskia vibaya

Lakini jambo hilo kwa mfano halijatokea kwa mistake yaani limetokea hata wenzio nyote mmeondolewa kama kwenda kuanzisha sehemu nyingine ..Mfano ni mtaalamu basi umetolewa bila ya chuki ila umepelekwa halmashauri ya kijijini huko hamna tena posho kama mjini na wenzio ili kusaidia katika kazi halmashauri hiyo
 
kwa miaka 10 ilopita nikiwa katika siasa huko vijijini watumishi walopelekwa huko mathalani mahakimu, madaktari, walimu, maafisa organi, watendaji kata na vijiji wamebadidika mno huko na kwakweli wamebadilisha hali ya muonekano hadi uchumi wa vijijini....
For sure, wametumia fursa kule vijijini ipasavyo...

Fursa nyingi walizonazo zimewafanya hivi sasa wao ndio wana majumba mazuri huko, magari mazuri, wao ndio wana mabar, guest house na malodge ya kisasa, mastationary na maduka ya fedha, wao ndio wana mashamba makubwa hivi sasa, wao ndio wafanyabiashara wakubwa mazao na ndio wanaokopesha wanakijiji kwa riba au kwa mfano anakupa elfu60 leo kipindi kilimo halafu, kipindi cha mavuno anakuja kuchukua gunia 3 za alizeti au mahindi...

zaidi sana kutokana na uhaba wa watumishi huko halmashauri mtumishi anakaimishwa majukumu zaidi ya moja na kwahivyo suala la posho linakua la uhakika zaidi kuliko mijini....

Mathalani maDMO wengi hukaimishwa ukurugenzi wa halmashauri, unataka posho gani tena daktari ndrugu yangu πŸ’

Nenda ukatengeneza fursa ndugu, posho huko halmashauri za vijijini ni uhakika sana coz fedha ni nyingi zimetengwa watumiaji ni wachache...
 
Ujumbe mzuri sana mkuu, naunga mkono mada 99% hiyo 1% sijaelewa huyo nyani wanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…