We! Sikuwa na kifua isipokuwa rafiki yakoPole sana mtani..sikukuona kabisa yani ulipoteaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We! Sikuwa na kifua isipokuwa rafiki yakoPole sana mtani..sikukuona kabisa yani ulipoteaa
😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona v8 la zamani sasa mkuu duuh watu washamba kweli angekuwa anatumia hili je👇👇👇👇👇
Jamaa kwa mazarau kaamua kuyapita magari mengine yaliyojisubirisha ili mkondo wa maji ya mafuriko yspite.
Kajiamini na 4 WD yake, na hakufika mbali.
Alipoteza kila kitu, nafikiri na maisha pia.
Ni ulimbukeni tuu hamna cha maanaMwewe kasombwa na maji.
Ushawahi kupanda V8 mleta mada?!
Ngoja nikupe siri. Hilo dude ukilipanda automatikali levo ya kujiamini inapanda kwa asilimia 50. V8 acha iitwe V8.
Kilichotokea hapo ni ajali kazini tu.
View attachment 2657296
Nawe jifunze kiswahili, mazarau ndiyo nini! Kaza ulimi sema "madharau".
Jamaa kwa mazarau kaamua kuyapita magari mengine yaliyojisubirisha ili mkondo wa maji ya mafuriko yspite.
Kajiamini na 4 WD yake, na hakufika mbali.
kila kitu, nafikiri na maisha pia.
Hii ndio dawa ya wenye Viherehere.
Jamaa kwa mazarau kaamua kuyapita magari mengine yaliyojisubirisha ili mkondo wa maji ya mafuriko yspite.
Kajiamini na 4 WD yake, na hakufika mbali.
Alipoteza kila kitu, nafikiri na maisha pia.
Ukiandika "mazarau" ujumbe unafika haraka zaidi.Nawe jifunze kiswahili, mazarau ndiyo nini! Kaza ulimi sema "madharau".
Aaah......hilo "linagonga" wanafunzi wanaenda kufia Moshi!😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona v8 la zamani sasa mkuu duuh watu washamba kweli angekuwa anatumia hili je👇👇👇👇👇
Sijui ingekuwaje
View attachment 2657981
Mama yako alikuambia andika vibaya ufeli wewe ukaona ni ujanja.Ukiandika "mazarau" ujumbe unafika haraka zaidi.