Ukiwa na wananchi kwa upande wa nchi na Kikwete kwa upande wa chama, basi umemaliza. Nape na Makamba kwisha habari yao

Ukiwa na wananchi kwa upande wa nchi na Kikwete kwa upande wa chama, basi umemaliza. Nape na Makamba kwisha habari yao

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzang

Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa watumbuliwaji wameunda genge lao na kutuma vijana huku mitandaoni kwa lengo la kumpiga mkwara boss wao aliewatupa nje ya kazi zao.

Tumeshaona waliotumwa wamekuja na mikwara ya kwamba inawezekana vijana hao wakamkwamisha mwenye nchi huyo na namba 1 wa chama ktk kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama chao, pamoja na kile cha uraisi 😂😂😂

Ukweli ni kwamba hizo ni ndoto za alinacha kwa nchi ambayo mkuu wa nchi ndio mwenyekiti wa chama. Nikiwa na maana kwamba yeye ndio alifa na umega kuanzia kwenye chama na nchi, hivyo kumuangusha au kumuengua mtu wa aina hii ili asigombee uraisi kwa kujifanya eti wao ndio waliokulia kwenye chama ni kujidanganya wenyewe.

Nafikiri wote tunakumbuka Jinsi raisi na mwenyekiti wa chama aliepita hayati Dr John P. Magufuli alivyowapeleka puta vijana hao hadi kupelekea wengine kutambaa kutoka kwao hadi ikulu kuomba msamaha. Sasa itakuwa kwa huyu ambae ana baraka kubwa kutoka kwa baba wa chama (Kikwete) na support kubwa kutoka uraiani baada ya wananchi wengi kufurahia kutumbuliwa kwao!!

Narudia tena, Makamba na Nape hawana ujanja wala nguvu ya kupindua meza iliyopo ikulu iwe kiushawishi au kifedha. Wao watulie tu na kuwa waangaliaji wa mechi kama wengine walivyokuwa waangaliaji pindi wao walipokuwa bado wachezaji wa team ya mama.

Thanks kwa kunisoma.
 
Habari zenu wana JF wenzang

Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa watumbuliwaji wameunda genge lao na kutuma vijana huku mitandaoni kwa lengo la kumpiga mkwara boss wao aliewatupa nje ya kazi zao.

Tumeshaona waliotumwa wamekuja na mikwara ya kwamba inawezekana vijana hao wakamkwamisha mwenye nchi huyo na namba 1 wa chama ktk kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama chao, pamoja na kile cha uraisi 😂😂😂

Ukweli ni kwamba hizo ni ndoto za alinacha kwa nchi ambayo mkuu wa nchi ndio mwenyekiti wa chama. Nikiwa na maana kwamba yeye ndio alifa na umega kuanzia kwenye chama na nchi, hivyo kumuangusha au kumuengua mtu wa aina hii ili asigombee uraisi kwa kujifanya eti wao ndio waliokulia kwenye chama ni kujidanganya wenyewe.

Nafikiri wote tunakumbuka Jinsi raisi na mwenyekiti wa chama aliepita hayati Dr John P. Magufuli alivyowapeleka puta vijana hao hadi kupelekea wengine kutambaa kutoka kwao hadi ikulu kuomba msamaha. Sasa itakuwa kwa huyu ambae ana baraka kubwa kutoka kwa baba wa chama (Kikwete) na support kubwa kutoka uraiani baada ya wananchi wengi kufurahia kutumbuliwa kwao!!

Narudia tena, Makamba na Nape hawana ujanja wala nguvu ya kupindua meza iliyopo ikulu iwe kiushawishi au kifedha. Wao watulie tu na kuwa waangaliaji wa mechi kama wengine walivyokuwa waangaliaji pindi wao walipokuwa bado wachezaji wa team ya mama.

Thanks kwa kunisoma.
ADUI WA TAIFA HILI NI CCM WALA HAKUNA MWINGINE.
 
Je babu wa Bumbuli analizungumziaje hili na anamzungumziaje Chura kiziwi
Babu ni kama toyi tu. Kama ulimuona ana sauti ni kwa sababu ya msoga kumsaidia kumpa sauti hiyo. Kumbuka huyo babu wa bumbuli, enzi za serikali ya mzee wa kipara alitupwa mbali huko asionekane.

Msoga alipoingia ndo akaamvuta karibu na kuanza kumpa nafasi mbali mbali kichama na kiserikali. Pia hata mwanae kabla ya msoga kuchukua nchi na chama hiyo 2005, hakuna aliekuwa anamjua January Makamba wala Nape Nauye. Hao wote wamejulikana baada ya msoga kuwasogeza karibu yake na kuwapa nafasi mbali mbali mungine ktk chama na mungine ktk serikali.

Hivyo msoga ndio baba yao wa kisiasa. Kama hawana baraka zake wao na baba yao hawawezi kufanya lolote ktk nchi wala ktk chama.
 
Habari zenu wana JF wenzang

Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa watumbuliwaji wameunda genge lao na kutuma vijana huku mitandaoni kwa lengo la kumpiga mkwara boss wao aliewatupa nje ya kazi zao.

Tumeshaona waliotumwa wamekuja na mikwara ya kwamba inawezekana vijana hao wakamkwamisha mwenye nchi huyo na namba 1 wa chama ktk kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama chao, pamoja na kile cha uraisi 😂😂😂

Ukweli ni kwamba hizo ni ndoto za alinacha kwa nchi ambayo mkuu wa nchi ndio mwenyekiti wa chama. Nikiwa na maana kwamba yeye ndio alifa na umega kuanzia kwenye chama na nchi, hivyo kumuangusha au kumuengua mtu wa aina hii ili asigombee uraisi kwa kujifanya eti wao ndio waliokulia kwenye chama ni kujidanganya wenyewe.

Nafikiri wote tunakumbuka Jinsi raisi na mwenyekiti wa chama aliepita hayati Dr John P. Magufuli alivyowapeleka puta vijana hao hadi kupelekea wengine kutambaa kutoka kwao hadi ikulu kuomba msamaha. Sasa itakuwa kwa huyu ambae ana baraka kubwa kutoka kwa baba wa chama (Kikwete) na support kubwa kutoka uraiani baada ya wananchi wengi kufurahia kutumbuliwa kwao!!

Narudia tena, Makamba na Nape hawana ujanja wala nguvu ya kupindua meza iliyopo ikulu iwe kiushawishi au kifedha. Wao watulie tu na kuwa waangaliaji wa mechi kama wengine walivyokuwa waangaliaji pindi wao walipokuwa bado wachezaji wa team ya mama.

Thanks kwa kunisoma.
Kama walishindwa kina Jobo na Bushir mda ule godfather wao alipovuta saizi ni too late 😁😁
 
Ni kweli mkuu, mi nashangaa watu kuwapa kiburi na ukubwa wasiokuwa nao.

Siku zote mtoto yake nepi tu.
Hawana chochote na hawawezi kuthubutu,wafilisike? Kina Sumaye na EL waliishiaga wapi? Membe Je? 😂😂

Kwa Tzn hii hakuna wa kumtikisa Rais labda Ile circle ya Wasiojulikana tuu.

Sa 💯 ni jasiri kaisafisha Ikulu yote.
 
Mtu mmoja aliuliza hivi Nape ni nani? mpaka kushawishi watu watumie goli la mkono wakati Rais anaimba na 4R
Nape ashaona kuwa kwenye chama chao hawezi kupenya nafasi ya uraisi, hivyo anafanya jambo ambalo litamfanya afukuzwe na kukimbilia upinzani akapewe nafasi ya ugombea kama ilivyotokea kwa hayati mzee Lowasa.

Katika siasa hakuna jambo linalotokea kwa bahati mbaya. Kila kitu kinakuwa kimepangwa kama ilivyopangwa mwaka 2015.
 
Back
Top Bottom