Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #61
Uliogopa nini mkuu?Baada ya Chuma kufariki niliogopa sana
Au ulikuwa hauamini kama kuna kufa mpaka uliposhuhudia kifo cha chuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliogopa nini mkuu?Baada ya Chuma kufariki niliogopa sana
Uliogopa nini ?Baada ya Chuma kufariki niliogopa sana
Kifo kipo tu na kila mtu atakutana nacho. !!Uliogopa nini mkuu?
Au ulikuwa hauamini kama kuna kufa mpaka uliposhuhudia kifo cha chuma?
Wote wajinga tu hao.Makamba;
Kujitutumua kwingi na kujiona ana uwezo mkubwa tofauti na uhalisia!
Mpigaji kwa sana kila eneo alilowekwa na huwa hana aibu ktk upigaji.
Mtu wa fitna na majungu ya kijinga.
Nape;
Mweupe kichwani na asiye na hekima wala busara.
Mpayukaji na siyetumia akili kuzungumza.
Bado Madehu
Labda alihisi ataambiwa wazikwe nae ndomaa aliogopa sana 😂😂Uliogopa nini ?
Ya ni kweli mkuu.Kifo kipo tu na kila mtu atakutana nacho. !!
Ndio maana huwa tunawaambia wapumbavu waache kudhalilisha watu maana watakiona cha mtema kuni baada na kabla ya kufa 😳🙌
Problem ni kile kitabu kikubwa, until then yoyote atakae pata madaraka at ongoza kwa similar style or worseAdui wa Tanzania ni mtanzania mwenyewe.
Nchi hii hata akipewa mtu asiekuwa na chama, kama akiamua kuipeleka hovyo ataipeleka hovyo tu.
Kwa ushauri wako unaona hicho kitabu kifanyajwe?Problem ni kile kitabu kikubwa, until then yoyote atakae pata madaraka at ongoza kwa similar style or worse
Kama bado muda wa kifo hata mtu akianguka na ndege atapona tu !CCM ina circle kubwa ya wafitini, watagombana leo lakini ukija uchaguzi wafitini na wasio wafitini wanafanya mambo yao meusi wanarudi kufitiana baadaye...