Yaani hao wajinga wawili ndio wawe maadui wa kitaifa .?
Kipara aliiba mtihani wa kidato cha 4 na kufutiwa matokeo.
Nepi alipiga vibendera "F"vya kutosha akajipatia daraja la 4 lenye point 29 huku akipata hadi kibendera cha somo la uraia.
Japo Tanzania ina wajinga wengi hawa wawili hawawezi kuwa maadui wa taifa bali ni mfumo mbovu tu ndio umewabeba kufika hapo.
Hao wamefikia hapo kupitia technical who !
Adui wa kitaifa ni CCM na mtaji wa CCM ni wingi wa wajinga Tanzania.
Kipara aliiba mtihani wa kidato cha 4 na kufutiwa matokeo.
Nepi alipiga vibendera "F"vya kutosha akajipatia daraja la 4 lenye point 29 huku akipata hadi kibendera cha somo la uraia.
Japo Tanzania ina wajinga wengi hawa wawili hawawezi kuwa maadui wa taifa bali ni mfumo mbovu tu ndio umewabeba kufika hapo.
Hao wamefikia hapo kupitia technical who !
Adui wa kitaifa ni CCM na mtaji wa CCM ni wingi wa wajinga Tanzania.