Ukiwa nyumbani halafu huna kazi

Wengi mnaochangia hapa naona ni wale wa mjini...ukiwa kijijini kuna mikazi kibao hata hiyo nafasi ya kukaa ndani bila kazi unatoa wapi? Matokeo yake mzazi anaanza kukuonea huruma utasikia leo pumzika upike mboga ya kula tukirudi

Half kinachoniboa ni kuwa Kijana ukishafanikiwa kipesa, ndugu wanaanza kukupigia simu wakijifanya wanakujulia hali, kumbe ni unafiki mtupu, wakati kabla ya hapo walikuwa wanakulia buyu Khantwe
 
Hi
Hii namba tano mbona kama vile haileweki
 

Wewe wasema
 
Usiombe tena ukawa sio mtoto wa kuzaliwa kwenye hiyo familia unaambiwa mnanenepeana tu hapa mnakula maharage ya buree.Fance ya michongoma inakuhusu(Yamenikuta Haya) [emoji23] [emoji23]
 
Una amshwa wewe ufungulie mlevi mlango, unampa chakula, unampelekea maji ya kuoga, mke kalala tu wanasema jirani ni KKB (kula kulala bure} kumbe ni wewe.
 
Kama unaitwa Michael wanaanza kukuita Jamaa,

We jamaa
Uyu jamaa bado amelala
Uyu jamaa yupo wapi akanunue sukari
Uyu jamaa yupo wapi akajaze gas

Battery zikiisha kwenye remote utasikia huyu jamaa ameshaharibu remote
We jamaa
 
Noted!
 
Kuna siku nikasema town mpaka niwe na ramani maalum ndo naenda. Duh maza si akainasa hio, kila siku unasikia tu kuna wengine et town mpka wawe na ramani. Yan ikawa kama fimbo akisema m natulia kama maji mtungini.
 
Likija tangazo kwenye t.v. unaambiwa umebadili chaneli
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]daaah
 
unamwagiwa maji ya ukoko wa wali+utumbo wa samaki kwa maksudi

#arafu alie kumwagia anakwambia bahati mbaya ..lakini jitahidi upate kazi maana ungekuwa na kazi nisingekumwagia...[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…