Iyo ya kufichiwa remote nimewai experience nimeenda kwa mamdgo wangu kumsalimia muda wa week moja wakaficha remote zoote duh nilichoka nkasema apa cludi tena.....Yah, ni changamoto.
Hapo bado hawajaficha remote usiangalie TV[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na tangawizi.Kreti la soda likinunuliwa wewe unapewa bitterlemon au krest
Ulikua unazitaka za nini?Iyo ya kufichiwa remote nimewai experience nimeenda kwa mamdgo wangu kumsalimia muda wa week moja wakaficha remote zoote duh nilichoka nkasema apa cludi tena.....
Kupikia mkuuUlikua unazitaka za nini?
Unajifanya siyo wa inji iii[emoji44]sasa hapo panakuwa ni kwenu ulipozariwa au kwa jirani,mbona kama vile siwaelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo ya kufichiwa remote nimewai experience nimeenda kwa mamdgo wangu kumsalimia muda wa week moja wakaficha remote zoote duh nilichoka nkasema apa cludi tena.....
Babe, naona umenipandisha cheo kutoka Ushirombo huku Lyambamgongo kijijini Kashelo, hadi kuwa South African walahi....tehWa South Africa
Iyo ya kufichiwa remote nimewai experience nimeenda kwa mamdgo wangu kumsalimia muda wa week moja wakaficha remote zoote duh nilichoka nkasema apa cludi tena.....
Ilikuwa nilale sasa hivi, ila huu Uzi umechukua usingizi wangu [emoji3]Ulikua unazitaka za nini?
Mm niliwahi kuvunja chupa ya chai
Niliapizwa kwa kuambiwa,nikipata kazi tu,mshahara wangu wa kwanza
Lazima nilipe
Dah
Mbaya zaidi
Usilale mpaka saa mbili asubuhi
Ilikuwa Balaa
Naambiwa
Tony Blair,analala masaa manne
George Bush,analala Masaa matatu
Wewe ushuzi kunuka,unalala masaa 10!!!!
Yaani ilikuwa Ngonjera
Kreti la soda likinunuliwa wewe unapewa bitterlemon au krest
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni pale ambapo na house girl amekimbia.... Asubuhi unategemewa udeki nyumba nzima, Madirisha na milango viwe Safi, kuosha vyombo, vyoo viwe Safi, uwanja uwe Safi, maua yanyeshewe, ukoka ukatwe vizuuuurrrriiii😂🤣😂🤣😂Ukiwa Nyumbani Halafu Huna kazi
Hata Mtoto Akilia Tu Inaonekana Wewe Ndo Umemchokoza!
[emoji23][emoji23][emoji23]