Ukiwa pekeyako nyumbani huwa unafanya nini kama huna kazi?

Me mgeni humu. Pm ndio wapi?
Haaa....kwamba unaogopa kwenda pm kwa kuogopa kutapeliwa....ngoja nikuelekeze. Pm ni hapo uliposimama then unanyoosha mbele halafu unakata kulia kwako utaona bango kubwa limeandika pm
 
Nielekeze pls kuna bonus ya kuelekeza.
Sikiliza babulae,Kwanza PM maana ake ni Prince Mikazo,So ili kufika pita hii Wanchi wanchi knich knach.mbele mbele yao unapita hivi kwa kina Omary fas duas paa unakaa mafuta ya taa,,Imeisha iyo Dingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…