JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Mbona hapo unapita tu faster. Unaziweka katikati hizo Mbili na safari inaendelea.Upo safarini usiku mnene, uko peke yako, unakatiza mapori mara hamaad. Unakutana na vitu kama hivyo barabarani.
Utafanyaje?
View attachment 2707516