Mbona hapo unapita tu faster. Unaziweka katikati hizo Mbili na safari inaendelea.Upo safarini usiku mnene, uko peke yako, unakatiza mapori mara hamaad. Unakutana na vitu kama hivyo barabarani.
Utafanyaje?
View attachment 2707516
ukikuta magogo.. basi jifanye tu staring sasa π π π . but safari za usiku lazima ujue rabia za barabara na wahalifu wakeHapo unakuta tayari wahuni wameshakuweka magogo nyuma picha linazidi kuwa la hatari
Hili nalo ni kweli kabisaMara nyingi kwenye situation kama hizi ukiwa na chamoto uwezekano wa wewe kuuawa unaongezeka maradufu kuliko ukiwa huna. Ukiwa huna cha moto sanasana watakuibia na kukupiga unless wawe ni vibaka tu na sio wazee wenyewe wa kazi. Kama ni wenyewe lazima wakuwahi.
Hivi mpaka ugeuze watakuwa wapi? Na wao wana akili wanajua mzeeUna geuza uliko toka chaap
Uwe unasoma wahalifu na tabia zao ππ€£ mbona mtihani huo sasaukikuta magogo.. basi jifanye tu staring sasa π π π . but safari za usiku lazima ujue rabia za barabara na wahalifu wake
,eeeh! kuna road unitembezi usiku hata kama unanipa SMG ... tusubiri pakuche kwanzaa π π π tusije anzisha vita ya msituni bila kutarajiaUwe unasoma wahalifu na tabia zao ππ€£ mbona mtihani huo sasa
π€£hapa mzee lazima watakuwa wana shaba sio burekipindi kigumu sana hiki.. vizuri kama mtu wa safari za usiku tembea na cha moto mzee baba . hapo ni kujaribu bahati yako . ugeuza kama utaweza au upite kati kati ya hizo mbao za misumali mbili kama una control unapita vizuri sana
Maana unaweza kuanza kujiuliza hawa ni wananchi wa kawaida au watu wameamua kuingia kazini ππ€£,eeeh! kuna road unitembezi usiku hata kama unanipa SMG ... tusubiri pakuche kwanzaa π π π tusije anzisha vita ya msituni bila kutarajia
vibaka wengine huwa wana mapanga, kama unacho cha moto ukishitua wanalala mbele.. huwa wana test zariπ€£hapa mzee lazima watakuwa wana shaba sio bure
Ebu jitokeze nikuone we unaesema unageukaπ€£Nageuza
π π π noma unasafiri huku unatubuMaana unaweza kuanza kujiuliza hawa ni wananchi wa kawaida au watu wameamua kuingia kazini ππ€£
Mkuu nitajie hizo road nipate mwanga,,eeeh! kuna road unitembezi usiku hata kama unanipa SMG ... tusubiri pakuche kwanzaa π π π tusije anzisha vita ya msituni bila kutarajia
Njia nyingi ukanda wa magharibi sio njia nzuri sana kwa usiku..M
Mkuu nitajie hizo road nipate mwanga,
Hivi ya kutoka Morogoro to mbeya Saivi iko salama kupitia kitongaNjia nyingi ukanda wa magharibi sio njia nzuri sana kwa usiku..
mbeya to moro haina maseke seke.. gari ni nyingi sana hiyo njia..Hivi ya kutoka Morogoro to mbeya Saivi iko salama kupitia kitonga
Tena hapo ukiwa na chamoto unasimama..unazima taa ghafla...unafungua mlango wadereva ..alafu unashukia mlango wa abiriakwa mzoefu wa misala hapo unapita vizuri sana.. hutoboi hata tyre... but usalama kabla ya kutembe usiku ujue njia upitazo na tabia zake, ila cha moto muhimu sana kama mtu wa safari za usiku watu wabaya sana siku hizi..