Ukiwa shabiki wa Arsenal unaweza kufa wakati wowote

Ukiwa shabiki wa Arsenal unaweza kufa wakati wowote

Huyu Stan Kroenke ndio mchawi..kama Italy angepigwa chuma
 
Hatujaanza kuishabikia leo wala jana wasioipenda mnywe sumu na msage chupa mlambe

Wadada bwana wako akiwa shabiki
Wa arsenal hapo umepata mtu makini na mvumilivu[emoji123][emoji123][emoji123]
IMG-20191230-WA0010.jpeg
IMG-20191230-WA0016.jpeg
IMG-20191230-WA0013.jpeg
IMG-20191230-WA0005.jpeg
IMG-20191230-WA0001.jpeg
IMG-20191230-WA0018.jpeg
IMG-20191230-WA0000.jpeg
IMG-20191230-WA0009.jpeg
IMG-20191230-WA0012.jpeg
IMG-20191230-WA0017.jpeg
IMG-20191230-WA0015.jpeg
IMG-20191230-WA0003.jpeg
IMG-20191230-WA0007.jpeg
 
Hakika nawaonea huruma sana mashabiki wa Klabu ya Arsenal.Klabu isiyo na uhakika wa kushinda mechi,iwe inacheza ugenini au uwanja wa nyumbani,wakishinda sana ni Draw match.Nadhani wamiliki wa Klabu ya Arsenal sio watu wa Mpira wapo pale kibiashara tu,timu inavurunda timu inauza wachezaji muhimu ,timu inasajili wachezaji wenye uwezo mdogo,ni vema Arsenal ikawekeza kwa vijana wadogo na kuwapa mechi kama ifanyavyo Chelsea na Bayern ili mwisho wa siku iepukane na Usajili ambao Arsenal haina uwezo wa kusajili wachezaji wenye uwezo mkubwa.Kwa mwenendo huu Mashabiki wa Arsenal mjiandae Kufa ghafla kwa hayo matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Purely novice in football, you reasons to shout
 
Mkuu hawa wameanza kushabikia hizi timu jana tu
Chelsea yenyewe imekuwa kwa ajili ya Mourihno

Hivi wanaujua mziki wa Leeds United enzi nzake
Mkuu hakuna mtu atajua ile Leeds ya David O Leary ambayo ilifika mpaka nusu fainali ya UEFA Champions League, lakini leo wako Championship.
 
Hakika nawaonea huruma sana mashabiki wa Klabu ya Arsenal.Klabu isiyo na uhakika wa kushinda mechi,iwe inacheza ugenini au uwanja wa nyumbani,wakishinda sana ni Draw match.Nadhani wamiliki wa Klabu ya Arsenal sio watu wa Mpira wapo pale kibiashara tu,timu inavurunda timu inauza wachezaji muhimu ,timu inasajili wachezaji wenye uwezo mdogo,ni vema Arsenal ikawekeza kwa vijana wadogo na kuwapa mechi kama ifanyavyo Chelsea na Bayern ili mwisho wa siku iepukane na Usajili ambao Arsenal haina uwezo wa kusajili wachezaji wenye uwezo mkubwa.Kwa mwenendo huu Mashabiki wa Arsenal mjiandae Kufa ghafla kwa hayo matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
20191231_172847.jpg
 
Mwl alienda St. Thomas anapungia huku anatabasamu! Kumbe ndio ilikuwa baba Jane! Nani huyo hana uhakika wa kufa wkt wowote? Waliomsema EL mgonjwa 2015 wengi wao tumewazika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom