Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
- #21
Watakuja kufa vibaya..😂 kuna mmoja kazini alikula cookies kumbe ni zile za Bangi.. tulizani anakufa hiyo siku.kuna vitu umeongea vina ukweli kabisa hasa kupekuw pekuwa kwenye gari na kama umeacha labda beats zako unakuta zimeliwa kabisa nilinunua vitu vya mtoto chocolate 🍫 korosho na biscuits sikukuta niliishia kuguna tu sikutaka ugomvi nikasep ata ukiangusha pesa kwenye gar wakaikuta ni ya kwao hawakupi
Maana kuna Mzungu alisahau lunchbox yake, yeye kwa uroho wake akabeba kwenda kula.