Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
UKÍWA UNAJITAFUTA NDIO WAKATI SAHIHI WA KUTAFUTA MKE. NAMAANISHA MKE WA UJANA WAKO (MIAKA 21 - 30)

Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli

Kijana wangu ukiwa kama Mtibeli na kama walivyo Watibeli waliotangulia na wataokuja.
Tafuta mke ukiwa únajitafuta. Tafuta mwenza wako wa maisha úkiwa katika maisha ya chini.

Huenda ukaniuliza Babaako yakuwa ni lini uanze kutafuta huyo Mke au mwenza wa maisha. Jibu ni kuwa tañgu siku ya kwañza úlipoona shahawa zako zikitoka basi elewa upo tayari kwa kutafuta mwenza wa maisha.
Hakikisha ndani ya miaka saba mpaka kumi tangu uzione shahawa zako uwe ushapata húyo mwenza au mke na hiyo haitazidi miaka 25 tangu úlipozaliwa.
Ikiwa balehe yako itachelewa na ukaona shahawa zako kati ya miaka 17 mpaka 20 hiyo haidhuru.

Ñi rahisi kupata mke sahihi ukiwa bado únajitafuta.

Usisubiri ujipate ndio uanze kutafuta Mke au mwenza. Huyo hatakuwa mwenza wala mkeo. Atakusumbua au útamsumbua.

Familia ni maisha. Maisha hujengwa tangu chini mkiwa pamoja na mwenza.

Kújitafuta kusikúfanye uchague mwenza asiye mzuri wa kimaúmbile na sifa nzuri kitabia ambaye atakuvutia kwa nyakati zote.
Fanya kama Mimi Babaako au Watibeli wote waliotañgulia. Ni lazima uoe Mke mzuri sana hata kama hauna chochote.

Watibeli ni Watu bora hata wasipokuwa na mali. Na hupendwa na wanawake wazuri wazuri wenye akili. Zingatia maneno wazuri wenye Akili.

Lakini hiyo isikufanye ubweteke ukashindwa kufanya kazi na kutafuta mali. Kwa sababu hakuna Mtibeli aliyewahi kufa Maskini Dunia ingalipo.

Mwanamke yeyote a
Utakayempenda na akakupenda wakati wa kújitafuta kwako huyo ndiye mke wako. Huyo ndiye mweñza wako. Usimúumize. Usimsononeshe. Huyo ni Mama wa watoto wako na atakuwa kwako Mama pale mama yako mzazi atakapoondoka.

Elewa, Mwanamke ambaye atakuwa na wewe wakati únajitafuta, na Hauna chochote kitu cha kumpa zaidi ya mapenzi yako jua huyo anakupenda.

Elewa, mwanamke hawezi kuishi na mtu asiyempenda ambaye hana kitu.
Na kama akiishi naye kwa matarajio elewa mwanamke hana úvumilivu kwa mtu asiyempenda.

Elewa, mwanamke anavumilia sehemu mbili tuu na katika muktadha wa aina mbili;
Mosi, sehemu anayopenda sana. Hapo atavumilia kwa muda mrefu muhimu apewe ñaye mapenzi(mapenzi ya kimwili, kihisia, kiakili na kiroho)

Pili, sehemu ambayo anapata pesa. Mwanamke kama amekosa wa kumpenda anaweza kuishi sehemu ambayo haipendi kwa kujitesa ilimradi anapata pesa.

Kwa Watibeli ni mwiko kuumaliza ujana kwa wanawake wengine ndipo utafute mwenza. Tafuta Mwanamke wakati wa ujana wako uutumie naye.
Ni mwiko kuoa Mwanamke ambaye újana wake ameutumia huko kisha wewe ndio umuoe.

Labda kama umefikisha umri wa uzee kama miaka kuanzia hamsini unaweza kufanya hivyo lakini ni aibu kijana wa chini ya miaka arobaini kuhusiana na mishangazi. Watibeli hawafanyi hivyo

Wala wanawake wa kitibeli ni mwiko kujidhalilisha kwa vijana wadogo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Tatizo wakati wakujitafuta ndio unaempenda sana na kumuona anafaa kua mkeo ndio huwa anakuachia maumivu makali. Hasa kama mlipendana mkiwa chuo baada ya kumaliza chuo usipopata kazi yeyote yakukuingizia chochote ndipo utaona rangi zake halisi.

Wanawake wengi ni wabinafsi, wakiona kwako mbele Giza watavumilia mwishowe wanakimbia. Na baada ya kukimbia haipiti miaka 2 mpaka 3 utaanza kupata nafuu ya maisha, maana kipaumbele chako itakua nimaisha Yako mapenzi utasema basi.

Jambo lamsingi ukipata uhakika wakula vizuri, kuvaa vizuri na sehemu nzuri yakulala ndio utafute mwenza hasa Kwa wale wasomi.

Tofauti na hivyo tafuta binti ambae kaishia lasaba atakuvumilia Kwa Kila Hali, tofauti nahawa nguchiro waliomaliza chuo nawao wanandoto zao za kuishi maisha mazuri nakupata bwana mwenye nyumba, gari na kazi nzuri au biashara nzuri.

Ningumu Sana kupata nguchiro aliemaliza chuo kikuu au diploma akawa mvimilivu wa shida zako na zake.
 
UKÍWA UNAJITAFUTA NDIO WAKATI SAHIHI WA KUTAFUTA MKE. NAMAANISHA MKE WA UJANA WAKO (MIAKA 21 - 30)

Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli

Kijana wangu ukiwa kama Mtibeli na kama walivyo Watibeli waliotangulia na wataokuja.
Tafuta mke ukiwa únajitafuta. Tafuta mwenza wako wa maisha úkiwa katika maisha ya chini.

Huenda ukaniuliza Babaako yakuwa ni lini uanze kutafuta huyo Mke au mwenza wa maisha. Jibu ni kuwa tañgu siku ya kwañza úlipoona shahawa zako zikitoka basi elewa upo tayari kwa kutafuta mwenza wa maisha.
Hakikisha ndani ya miaka saba mpaka kumi tangu uzione shahawa zako uwe ushapata húyo mwenza au mke na hiyo haitazidi miaka 25 tangu úlipozaliwa.
Ikiwa balehe yako itachelewa na ukaona shahawa zako kati ya miaka 17 mpaka 20 hiyo haidhuru.

Ñi rahisi kupata mke sahihi ukiwa bado únajitafuta.

Usisubiri ujipate ndio uanze kutafuta Mke au mwenza. Huyo hatakuwa mwenza wala mkeo. Atakusumbua au útamsumbua.

Familia ni maisha. Maisha hujengwa tangu chini mkiwa pamoja na mwenza.

Kújitafuta kusikúfanye uchague mwenza asiye mzuri wa kimaúmbile na sifa nzuri kitabia ambaye atakuvutia kwa nyakati zote.
Fanya kama Mimi Babaako au Watibeli wote waliotañgulia. Ni lazima uoe Mke mzuri sana hata kama hauna chochote.

Watibeli ni Watu bora hata wasipokuwa na mali. Na hupendwa na wanawake wazuri wazuri wenye akili. Zingatia maneno wazuri wenye Akili.

Lakini hiyo isikufanye ubweteke ukashindwa kufanya kazi na kutafuta mali. Kwa sababu hakuna Mtibeli aliyewahi kufa Maskini Dunia ingalipo.

Mwanamke yeyote a
Utakayempenda na akakupenda wakati wa kújitafuta kwako huyo ndiye mke wako. Huyo ndiye mweñza wako. Usimúumize. Usimsononeshe. Huyo ni Mama wa watoto wako na atakuwa kwako Mama pale mama yako mzazi atakapoondoka.

Elewa, Mwanamke ambaye atakuwa na wewe wakati únajitafuta, na Hauna chochote kitu cha kumpa zaidi ya mapenzi yako jua huyo anakupenda.

Elewa, mwanamke hawezi kuishi na mtu asiyempenda ambaye hana kitu.
Na kama akiishi naye kwa matarajio elewa mwanamke hana úvumilivu kwa mtu asiyempenda.

Elewa, mwanamke anavumilia sehemu mbili tuu na katika muktadha wa aina mbili;
Mosi, sehemu anayopenda sana. Hapo atavumilia kwa muda mrefu muhimu apewe ñaye mapenzi(mapenzi ya kimwili, kihisia, kiakili na kiroho)

Pili, sehemu ambayo anapata pesa. Mwanamke kama amekosa wa kumpenda anaweza kuishi sehemu ambayo haipendi kwa kujitesa ilimradi anapata pesa.

Kwa Watibeli ni mwiko kuumaliza ujana kwa wanawake wengine ndipo utafute mwenza. Tafuta Mwanamke wakati wa ujana wako uutumie naye.
Ni mwiko kuoa Mwanamke ambaye újana wake ameutumia huko kisha wewe ndio umuoe.

Labda kama umefikisha umri wa uzee kama miaka kuanzia hamsini unaweza kufanya hivyo lakini ni aibu kijana wa chini ya miaka arobaini kuhusiana na mishangazi. Watibeli hawafanyi hivyo

Wala wanawake wa kitibeli ni mwiko kujidhalilisha kwa vijana wadogo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
labda wanawake wa zamani lakin kama hawa wa sikuizi uoe na huna kitu chamoto utakiona. Dharau, dharau, dharau. Vijana tafuteni maokoto ndio muoe no money no marriage bila hivo utapata tabu sana.
 
Ni mwiko kuoa Mwanamke ambaye újana wake ameutumia huko kisha wewe ndio umuoe.
Nakazia ila wanawake wengi wa sasa ni ngumu sana kuvumilia wakati mwenza wake anajitafuta, wengi wanapenda wakute maisha mazuri.

Gharama za kuhudumia ke wakati wa kujitafuta ni kubwa mno hasa kimjini mjini, hali inayopelekea vijana wengi kujiweka kando na mahusiano pindi wanapojitafuta.

Wenyewe wanasema siku hizi hapendwi mtu, inapendwa pesa.
 
Tatizo wakati wakujitafuta ndio unaempenda sana na kumuona anafaa kua mkeo ndio huwa anakuachia maumivu makali. Hasa kama mlipendana mkiwa chuo baada ya kumaliza chuo usipopata kazi yeyote yakukuingizia chochote ndipo utaona rangi zake halisi.

Wanawake wengi ni wabinafsi, wakiona kwako mbele Giza watavumilia mwishowe wanakimbia. Na baada ya kukimbia haipiti miaka 2 mpaka 3 utaanza kupata nafuu ya maisha, maana kipaumbele chako itakua nimaisha Yako mapenzi utasema basi.

Jambo lamsingi ukipata uhakika wakula vizuri, kuvaa vizuri na sehemu nzuri yakulala ndio utafute mwenza hasa Kwa wale wasomi.

Tofauti na hivyo tafuta binti ambae kaishia lasaba atakuvumilia Kwa Kila Hali, tofauti nahawa nguchiro waliomaliza chuo nawao wanandoto zao za kuishi maisha mazuri nakupata bwana mwenye nyumba, gari na kazi nzuri au biashara nzuri.

Ningumu Sana kupata nguchiro aliemaliza chuo kikuu au diploma akawa mvimilivu wa shida zako na zake.
2na ambiwa tukipenda basi tubali maumivu.
 
Nakazia ila wanawake wengi wa sasa ni ngumu sana kuvumilia wakati mwenza wake anajitafuta, wengi wanapenda wakute maisha mazuri.

Gharama za kuhudumia ke wakati wa kujitafuta ni kubwa mno hasa kimjini mjini, hali inayopelekea vijana wengi kujiweka kando na mahusiano pindi wanapojitafuta.

Wenyewe wanasema siku hizi hapendwi mtu, inapendwa pesa.
Mwanamke anayekupenda mnasaidiana.
Kama hawezi kukusaidia ukiwa kijana hiyo ni red alert kuwa úkiwa mzee utapasuka.

Maisha ni kusaidiana. Mume na mke ni kama pande mbili za Sarafu iitwayo ndoa.
 
Wife nilimpata nikiwa Form five baada ya kumgonga mimba, wazazi wake wakaniambia nikubali mimba au wayapeleke mbele. Nikakubali nipo naye mpaka Leo dogo anaingia form six next month na ana wadogozake wawili. Toka nipo naye hajawai kuniletea chenga Wala pumba. sijui kama nilichoandika kinaendana na mada.
 
Wife nilimpata nikiwa Form five baada ya kumgonga mimba, wazazi wake wakaniambia nikubali mimba au wayapeleke mbele. Nikakubali nipo naye mpaka Leo dogo anaingia form six next month na ana wadogozake wawili. Toka nipo naye hajawai kuniletea chenga Wala pumba. sijui kama nilichoandika kinaendana na mada.

Kiasi kinaendana.
Mlikuwa mnapendana au ni ishu ujana?
 
Mwanamke anayekupenda mnasaidiana.
Kama hawezi kukusaidia ukiwa kijana hiyo ni red alert kuwa úkiwa mzee utapasuka.

Maisha ni kusaidiana. Mume na mke ni kama pande mbili za Sarafu iitwayo ndoa.
Upo sahihi lakini kwa dunia ya sasa ni wachache sana mkuu, wengi ni pasua kichwa wanachoangalia ni wao wananufaika vipi? Awe nawewe maisha yake yaende, madeni yalipike, michezo/vikoba gharama zote ni wewe. Akiona ugumu anakukimbia.
 
Kiasi kinaendana.
Mlikuwa mnapendana au ni ishu ujana?
Kwa upande wangu nadhani ilikua ishu ya ujana ila yeye alikua hatanii.... Nakumbuka kipindi naenda chuo alinivisha Pete ya ndoa wakati huo hata hiyo ndoa hatujafunga na aknaniambia nisiivue, hapo nikajua huyu manzi ni wakuoa mambo yakinyokea huko mbele.
 
Wife nilimpata nikiwa Form five baada ya kumgonga mimba, wazazi wake wakaniambia nikubali mimba au wayapeleke mbele. Nikakubali nipo naye mpaka Leo dogo anaingia form six next month na ana wadogozake wawili. Toka nipo naye hajawai kuniletea chenga Wala pumba. sijui kama nilichoandika kinaendana na mada.
Mule mule, hujatoka nje
 
Back
Top Bottom