DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ukiwa unaumwa jaribu kuwa unatunza kumbukumbu zako .
Na unaangalia aina gani ya Dawa huwa unatumia , mazoezi n.k .
Binafsi huwa naumwa Sana kichwa .
Dawa ambayo huwa natumia nakunywa Tangawizi Ahsubui na join pamoja mazoezi , damu inapokuwa na mzunguko mzuri maumivu ya kichwa hupungua au kukoma .
Na unaangalia aina gani ya Dawa huwa unatumia , mazoezi n.k .
Binafsi huwa naumwa Sana kichwa .
Dawa ambayo huwa natumia nakunywa Tangawizi Ahsubui na join pamoja mazoezi , damu inapokuwa na mzunguko mzuri maumivu ya kichwa hupungua au kukoma .