Ukiwa upande wa Mungu utashambuliwa sana, CHADEMA jipeni moyo mtashinda

Ukiwa upande wa Mungu utashambuliwa sana, CHADEMA jipeni moyo mtashinda

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ulimwenguni ni mahali pa matatizo lakini yatufaa kujipa moyo na kuamini ktk Mungu Mwenyezi.

Eti hapa kwetu Tanzania mtu anayehubiri ukombozi wa fikra ktk nyanja za Umaskini, ukosefu wa huduma bora, ufisadi, wizi ,uonezi, njaa, afya, haki na amani anaitwa Mchochezi na mahala pake ni jela.

Huku upande wa pili watukanaji, wasanii wa nyimbo za Ngono, matusi, ulawiti na uchawa wanapendwa na nyimbo zao kupewa Promo kubwa ndani na nje.

Haya ni maajabu. Ni kufuru kwa Mungu.

Wito Wangu: Wapenda haki waendelee kuhubiri haki kwa sana, wapenda wananchi waendelee kuwapenda na kuwapigania kwa sana.

Mwisho Mungu Mwenyewe ataamua.
 
Sentensi ya Mwisho ndio ilipaswa kua kichwa cha bandiko lako.

Mahubiri na unabii wako si vibaya ni sawa abisa kulingana na Imani yako.

Lakini kumchagulia Mungu upande halafu tena unakuja kusema.

Yeye Mwenyewe ataamua, ni ishara kamili ya Imani haba.
 
Sentensi ya Mwisho ndio ilipaswa kua kichwa cha bandiko lako.

Mahubiri na unabii wako si vibaya ni sawa abisa kulingana na Imani yako.

Lakini kumchagulia Mungu upande halafu tena unakuja kusema.

Yeye Mwenyewe ataamua, ni ishara kamili ya Imani haba.
Hahaha Mungu tunampa nafasi yake. Hatupaswi kuingilia maamuzi
 
Sahihi kbs, imagine nyimbo za kukosoa na kushauri serikali zinapigwa ban.. Njoo kweny bongo Flava sasa utasikia panua nisafishe mtaro mara katoto kachafu kama bata namm nakalamba, mara panua nipachike rungu, mara ukipata bwana wa kizungu mpe kwa mpalange! Nyimbo kama hiz zinapeta mitaani na redion kila kukicha, kwel shetani yupo kazin!
 
Ulimwenguni ni mahali pa matatizo lakini yatufaa kujipa moyo na kuamini ktk Mungu Mwenyezi.

Eti hapa kwetu Tanzania mtu anayehubiri ukombozi wa fikra ktk nyanja za Umaskini, ukosefu wa huduma bora, ufisadi, wizi ,uonezi, njaa, afya, haki na amani anaitwa Mchochezi na mahala pake ni jela.

Huku upande wa pili watukanaji, wasanii wa nyimbo za Ngono, matusi, ulawiti na uchawa wanapendwa na nyimbo zao kupewa Promo kubwa ndani na nje.

Haya ni maajabu. Ni Kufuru kwa Mungu.

Wito Wangu: Wapenda haki waendelee kuhubiri haki kwa sana, wapenda wananchi waendelee kuwapenda na kuwapigania kwa sana.

Mwisho Mungu Mwenyewe ataamua.
Nimeipenda sana hii hoja yako mkuu!
 
Ulimwenguni ni mahali pa matatizo lakini yatufaa kujipa moyo na kuamini ktk Mungu Mwenyezi.

Eti hapa kwetu Tanzania mtu anayehubiri ukombozi wa fikra ktk nyanja za Umaskini, ukosefu wa huduma bora, ufisadi, wizi ,uonezi, njaa, afya, haki na amani anaitwa Mchochezi na mahala pake ni jela.

Huku upande wa pili watukanaji, wasanii wa nyimbo za Ngono, matusi, ulawiti na uchawa wanapendwa na nyimbo zao kupewa Promo kubwa ndani na nje.

Haya ni maajabu. Ni Kufuru kwa Mungu.

Wito Wangu: Wapenda haki waendelee kuhubiri haki kwa sana, wapenda wananchi waendelee kuwapenda na kuwapigania kwa sana.

Mwisho Mungu Mwenyewe ataamua.
Hako kakikundi kalishakufa kifo cha mende. Maana kiliongozwa na shetani ambaye bado anamatumaini eti kikundi kitafufuka. Zoeeni tu kuwa ni failure.
 
Ulimwenguni ni mahali pa matatizo lakini yatufaa kujipa moyo na kuamini ktk Mungu Mwenyezi.

Eti hapa kwetu Tanzania mtu anayehubiri ukombozi wa fikra ktk nyanja za Umaskini, ukosefu wa huduma bora, ufisadi, wizi ,uonezi, njaa, afya, haki na amani anaitwa Mchochezi na mahala pake ni jela.

Huku upande wa pili watukanaji, wasanii wa nyimbo za Ngono, matusi, ulawiti na uchawa wanapendwa na nyimbo zao kupewa Promo kubwa ndani na nje.

Haya ni maajabu. Ni Kufuru kwa Mungu.

Wito Wangu: Wapenda haki waendelee kuhubiri haki kwa sana, wapenda wananchi waendelee kuwapenda na kuwapigania kwa sana.

Mwisho Mungu Mwenyewe ataamua.
Mungu ibariki CHADEMA[emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimwenguni ni mahali pa matatizo lakini yatufaa kujipa moyo na kuamini ktk Mungu Mwenyezi.

Eti hapa kwetu Tanzania mtu anayehubiri ukombozi wa fikra ktk nyanja za Umaskini, ukosefu wa huduma bora, ufisadi, wizi ,uonezi, njaa, afya, haki na amani anaitwa Mchochezi na mahala pake ni jela.

Huku upande wa pili watukanaji, wasanii wa nyimbo za Ngono, matusi, ulawiti na uchawa wanapendwa na nyimbo zao kupewa Promo kubwa ndani na nje.

Haya ni maajabu. Ni kufuru kwa Mungu.

Wito Wangu: Wapenda haki waendelee kuhubiri haki kwa sana, wapenda wananchi waendelee kuwapenda na kuwapigania kwa sana.

Mwisho Mungu Mwenyewe ataamua.
Nchi yetu imelaaniwa haswa
 
Sahihi kbs, imagine nyimbo za kukosoa na kushauri serikali zinapigwa ban.. Njoo kweny bongo Flava sasa utasikia panua nisafishe mtaro mara katoto kachafu kama bata namm nakalamba, mara panua nipachike rungu, mara ukipata bwana wa kizungu mpe kwa mpalange! Nyimbo kama hiz zinapeta mitaani na redion kila kukicha, kwel shetani yupo kazin!
Ile nyimbo ya Kwa Mpalange inatia kinyaa sana
 
Back
Top Bottom