Ukiwachunguza vizuri, viongozi hawa, wameishapigwa na stroke sema wanaficha angalia uso na mkono

Ukiwachunguza vizuri, viongozi hawa, wameishapigwa na stroke sema wanaficha angalia uso na mkono

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1739244296172.png

1739244430228.png

1739244684948.png



Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

1739246921247.png
 
Waachie madaraka wenye afya watawala badala ya kuwatwisha mzigo walipa kodi ugogolo wa afya zao mwanangu hujui!!!!
Wenye afya ni akina nani hao?
Labda aje kutawala malaika.

Hata hivyo, hao unaowaona wana afya aina yao ya uongozi na mbaya mno(mifano iko wazi).
 
Uzima una yeye Yesu, milele na milele.
Amina.
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!

Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
 
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!

Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Hili swali japo rahisi ni mali. Sijui kama. kuna mtu mwenye kuamini katika dini anaweza kulijibu zaidi ya kubabaisha na kujiridhisha kijinga jinga.
 
Back
Top Bottom