Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waachie madaraka wenye afya watawala badala ya kuwatwisha mzigo walipa kodi ugogolo wa afya zao mwanangu hujui!!!!so where's ur point?!
MUonekano wao unaonekana walipigwa strokeView attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais.
Wenye afya ni akina nani hao?Waachie madaraka wenye afya watawala badala ya kuwatwisha mzigo walipa kodi ugogolo wa afya zao mwanangu hujui!!!!
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!Uzima una yeye Yesu, milele na milele.
Amina.
😃Ongeza picha ya wasira hapo mkuu
Wakipata hili andiko;hasa Museveni na Ouatarra,utapigwa hadi uchakae kama Bobby Wine au Kiiza Besigye.View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais.
Akiweka tu picha ya mzee Wassira ataanza kumsema Lissu.Ongeza picha ya wasira hapo mkuu
Hili swali japo rahisi ni mali. Sijui kama. kuna mtu mwenye kuamini katika dini anaweza kulijibu zaidi ya kubabaisha na kujiridhisha kijinga jinga.Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!
Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Waachie madaraka wenye afya watawala badala ya kuwatwisha mzigo walipa kodi ugogolo wa afya zao mwanangu hujui!!!!
Hayo ya usemaji wa watu ambao hatukumtuma.Dr. Slaa aachie madaraka yapi....!?
Mwambieni Maza amuachie Mzee wa watu arudi nyumbani asije akawafia huko. Wanamtesa bure kumlaza Segerea.