The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Hayo ya usemaji wa watu ambao hatukumtuma.
Kwa hiyo kuna watu huwa mnawatuma...!?
Mwacheni Slaa aongee mawazo yake. Hata akiongea msiyoyataka hafanyi dhambi yeyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ya usemaji wa watu ambao hatukumtuma.
Uongozi una mambo mengiNo peace of mind !
Anazo mbiliOngeza picha ya wasira hapo mkuu
Yule sidhani kama analala segerea. Itakuwa kuna nyumba yenye kila kitu kafungiwa huko.Dr. Slaa aachie madaraka yapi....!?
Mwambieni Maza amuachie Mzee wa watu arudi nyumbani asije akawafia huko. Wanamtesa bure kumlaza Segerea.
Yule sidhani kama analala segerea. Itakuwa kuna nyumba yenye kila kitu kafungiwa huko.
Dah, aibu mno. Ila hawawezi risk yule mzee kufia mikononi mwao. Ni risk kubwa sana. Lazima wanamonitor afya yake kwa ukaribu mno.Mkuu, hivi hawa maCCM unawaanini. Imagine akipelekwa huko sehemu ya ukaguzi ni lazima avulidhwe nguo zote. Wanajaribu kumdhalilisha Mzee wa watu bila sababu. Maza hata kama hakubali kuhusika, hii dhambi inamuhusu.
Afadhali na wewe umeona.Hao wote hapo umewachomekea by the way tu,ila inaonekana kuna mmoja hapo ndio muhusika wako halisi.....
kufuru ni kitu kibaya sana aise dah, namuhurumia mwanadamu anaejipiga kifua kwamba yeye ni mzima wa afya na binadamu wenzake wengine wana afya mbovu,View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775